Imewekwa: October 17th, 2019
Tarehe 17 Oktoba, 2019 Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mh. Vumilia Nyamoga amefanya uzinduzi wa Chanjo ya Surua, Rubela na Polio katika zahanati ya Buigiri.
Chanjo itatolewa kwa watoto wenye umri kuanzi...
Imewekwa: October 12th, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Leo tarehe 12 Oktoba 2019, amejiandikisha kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga kura la Kitongoji cha Sokoine Chamwino Ikulu kwa ajili ya ...
Imewekwa: September 12th, 2019
Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Dkt. Eusebius Kessy ametoa wito kwa watumishi wa sekta ya Afya wilayani humo kuwaeleza wananchi juu ya faida watakazozipata wanapojiunga na CHF iliyoboreshwa.
Wito...