Imewekwa: January 30th, 2025
Katika mapambano ya kuongeza ufaulu na elimu bora kwa wanafunzi katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino leo tarehe 30 Januari, 2025 Waheshimiwa Madiwani kupitia Mkutano wa Baraza la Madiwani wa robo ...
Imewekwa: January 27th, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino leo tarehe 27 Januari, 2025 imesheherekea siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kupanda miti katika shule ya Mkoa ...
Imewekwa: January 24th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mh. Janeth Mayanja leo tarehe 23 Januari, 2025 amehimiza mpango wa upatikanaji wa chakula kwa wanafunzi wote wa shule katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.
Mh. Janeth...