• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RAS Dodoma Afanya Ziara Ya Kujitambulisha Chamwino, Atoa Maelekezo Kwa Halmashauri

Imewekwa: September 19th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Khatibu Kazungu ameitaka Halmashauri ya wilaya ya Chamwino kubuni vyanzo vipya vya mapato, ikiambatana na kuandaa mpango mkakati wa kukuza uwekezaji ili kuvutia wawekezaji na hatimaye kuchochea maendelo ya mtu mmoja mmoja, Halmshauri pamoja na MKoa wa Dodoma kwa ujumla.

Dkt. Kazungu ametoa maelekezo hayo leo Septemba 18, 2025 alipofanya ziara katika Makao Makuu ya Halmashauri ya Chamwino kwa lengo la kujitambulisha kwa watumishi wa Halmashauri hiyo. Pamoja na hayo, ametaka mipango na mikakati yote inayofanywa na Halmashauri izingatie mpango wa maendelo endelevu na iendane na Dira ya Taifa ya mwaka 2050.

“Tukumbuke kwamba nchi hii inaongozwa na dira ya 2050, na katika dira ile kufikia mwaka 2050 tunatarajia kwa mfano Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza katika bara la Aafrika kwa uzalishaji wa chakula. Kwahiyo, kila mmoja kwa nafsi yake ana wajibu wa kuhakikisha kwamba anatekeleza majukumu yake kwa weledi, kwa juhudi, na maarifa ili kuhakikisha tunafikia malengo ya dira hiyo.”

Aidha, amewataka watumishi kufanya kazi kwa kufuata sheria, kanuni pamoja na taratibu za utumishi wa umma wakati wa kutekeleza majukumu ya kazi. Vilevile, amewasihi kujitokeza tarehe Oktoba 29, 2025 kutekeleza haki yao ya kikatiba ya kupiga kura ya kuwachagua Madiwani, Wabunge na Rais.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mwenyeķiti Wa INEC Jaji Wa Rufani Jacobs Mwambegele Atembelea Ghala la Vifaa Vya Uchaguzi Chamwino

    September 25, 2025
  • RAS Dodoma Afanya Ziara Ya Kujitambulisha Chamwino, Atoa Maelekezo Kwa Halmashauri

    September 19, 2025
  • RC Dodoma Atembelea na Kukagua Miradi Ya Maendeleo Chamwino

    September 15, 2025
  • DAS Chamwino Apokea Ripoti Ya Utekelezaji Wa Mkataba Wa Lishe Kwa Robo Ya Nne Ya Mwaka Wa Fedha 2024/2025

    August 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.