• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wanufaika Wa Miradi Ya Maendeleo Chamwino Watakiwa Kuitunza

Imewekwa: October 3rd, 2025

Timu ya Menejimenti ya  Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino ikiongozwa na Kaimu Afisa Mipango Happiness Kapinga akimuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji, leo Oktoba 03, 2025 imefanya ziara ya kukagua ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Halmashauri, ili kuboresha huduma za kijamii kwa wananchi.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa Zahanati ya kijiji cha Chitabuli, Ujenzi wa Shule mpya ya Msingi Manyemba, ujenzi wa madarasa 2 mapya na matundu 8 ya vyoo katika Shule ya Sekondari Segala, ujenzi wa matundu 8 ya vyoo katika Shule ya Sekondari Manchali, na ukarabati wa  miundombinu ya Shule ya Msingi Membe.

Kapinga ametoa wito kwa wasimamizi wa miradi hiyo kuisimamaia vizuri katika hatua zote za ujenzi na pale itakapoanza kutoa huduma ili iweze kudumu. Aidha, amesisitiza kukamilishwa kwa wakati kwa miradi hiyo ili ianze kutoa huduma kwa wananchi kama ilivyokusudiwa.

“Miradi hii imeletwa ili kuboresha huduma za kijamii kwa wananchi. Hivyo, ni vizuri ikamilike kwa wakati ili ihudumie wananchi kwasababu hilo ndilo lengo.”

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wanufaika Wa Miradi Ya Maendeleo Chamwino Watakiwa Kuitunza

    October 03, 2025
  • Mwenyeķiti Wa INEC Jaji Wa Rufani Jacobs Mwambegele Atembelea Ghala la Vifaa Vya Uchaguzi Chamwino

    September 25, 2025
  • RAS Dodoma Afanya Ziara Ya Kujitambulisha Chamwino, Atoa Maelekezo Kwa Halmashauri

    September 19, 2025
  • RC Dodoma Atembelea na Kukagua Miradi Ya Maendeleo Chamwino

    September 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.