• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Milioni Miamoja Thelathini Na Tatu Zatolewa Kwa Vikundi Vya Wajasiliamali Wadogo Chamwino

Imewekwa: October 27th, 2025

Leo Oktoba 27, 2025 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imetoa mikopo ya Tsh. 133,000,000 kwa vikundi 24 vya wajasiriamali, ambavyo vimejumuisha vikundi 10 vya vijana, vikundi 13 vya wanawake na kikundi 01 cha walemavu, ikiwa ni utoaji wa mkopo wa 10% kwa  makundi hayo kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Hafla ya utoaji wa mikopo hiyo imefanyika katika ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, na imehudhuriwa na wataalamu mbalimbali kutoka ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, Benki ya NMB, pamoja na wanachama wa vikundi mbalimbali vya wajasiriamali ambao ni wanufaika wa mkopo huo.

Akizungumza Katika hafla hiyo, Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya, Afisa Tawala wa Wilaya ya Chamwino Ndg. Benjamin Cosmas amesisitiza wanufaika wa mikopo hiyo kuielekeza katika shughuli za kiuchumi walizozianisha wakati wa maombi yao, ili iwaletee manufaa.

“Tunapotumia hii mikopo naomba tujikite katika lengo letu la awali, zile shughuli za kiuchumi ambazo tulizianisha wakati wa kuomba mikopo. Isifike mahali mkaelekeza hizi fedha kwenye matumizi mengine kwasababu mtakuwa manajiandaa kushindwa kuendesha mradi, na kushindwa kufanya marejesho kwa wakati."

kadhalika, amesisitiza ushirikiano, na kusikilizana miongoni mwa wanavikundi ili kuwawezesha kuwa na maamuzi ya pamoja ambayo yatawasaidia kufikia malengo yao.

Pamoja na mambo mengine, wanavikundi wamepewa elimu ya fedha na mtaalamu wa Benki ya NMB pamoja na kujengewa uelewa wa kisheria na mtaalamu wa sheria kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kuhusiana na mikopo hiyo, ili iwaletee tija.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Milioni Miamoja Thelathini Na Tatu Zatolewa Kwa Vikundi Vya Wajasiliamali Wadogo Chamwino

    October 27, 2025
  • Huduma Za Afya Zazidi Kuimarika Chamwino, Hospitali Ya Wilaya Na Zahanati Nne Zapata Neema

    October 11, 2025
  • Wanufaika Wa Miradi Ya Maendeleo Chamwino Watakiwa Kuitunza

    October 03, 2025
  • Mwenyeķiti Wa INEC Jaji Wa Rufani Jacobs Mwambegele Atembelea Ghala la Vifaa Vya Uchaguzi Chamwino

    September 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.