• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenyeķiti Wa INEC Jaji Wa Rufani Jacobs Mwambegele Atembelea Ghala la Vifaa Vya Uchaguzi Chamwino

Imewekwa: September 25th, 2025

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Rufaa) Mhe. Jacobs Mwambegele leo Septemba 25, 2025 ametembelea ghala la kuhifadhia vifaa vya uchaguzi na kuangalia vifaa ambavyo vimepokelewa hadi sasa katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino yenye majimbo mawili ya uchaguzi ya Chamwino na Mvumi.

Mhe. Jacobs Mwambegele amefanya ziara hiyo ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kutembelea maeneo mbalimbali nchini kuangalia maandalizi ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.

Akizungumza wakati alipotembelea Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino na kupokea ripoti ya utekelezaji wa shughuli za uchaguzi kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Majimbo ya Chamwino na Mvumi Bi. Prudence Kaaya, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele ameagiza watendaji wa uchaguzi kuwa na uadilifu wakati wa utendaji wa majukumu yao.

Halikadhalika amewaasa watendaji hao kuzingatia miiko na miongozo ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi wakati wa utekelezaji wa majukumu yao ili kuwa na uchaguzi wa haki na usawa

Aidha, amepongeza mwenendo wa mchakato wa uchaguzi unaoendelea hadi sasa nchi nzima pamoja na kuridhishwa na hali ya uhifadhi wa vifaa vya uchaguzi katika Halmashauri ya Wilaya ya  Chamwino.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mwenyeķiti Wa INEC Jaji Wa Rufani Jacobs Mwambegele Atembelea Ghala la Vifaa Vya Uchaguzi Chamwino

    September 25, 2025
  • RAS Dodoma Afanya Ziara Ya Kujitambulisha Chamwino, Atoa Maelekezo Kwa Halmashauri

    September 19, 2025
  • RC Dodoma Atembelea na Kukagua Miradi Ya Maendeleo Chamwino

    September 15, 2025
  • DAS Chamwino Apokea Ripoti Ya Utekelezaji Wa Mkataba Wa Lishe Kwa Robo Ya Nne Ya Mwaka Wa Fedha 2024/2025

    August 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.