Imewekwa: August 23rd, 2023
Wajumbe wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino wamepewa elimu kuhusu ugonjwa wa homa ya ini ( hepatitis B) ambao kwa sasa umekuwa maabukizi yake yamekuwa yakiongezeka kwenye jamii.
...
Imewekwa: August 9th, 2023
Katika maadhimisho ya Kilele cha siku ya wakulima ( Nanenane) kanda ya Kati Agosti 08, 2023 inayojumuisha mikoa ya Dodoma na Singida ambayo yamefanyika kwenye viwanja vya maonesho ya nanenane eneo la ...
Imewekwa: August 4th, 2023
Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imefanya Mkutano maalum wa kuunda Jukwaa tendaji la Kilimo, Ufugaji na Ardhi lenye lengo la kuwakutanisha Wakulima na Wafugaji ili iwe rahisi kuwahudumia.
Mkutano ...