Imewekwa: May 22nd, 2025
Katika Juhudi za kukijanisha Mkoa wa Dodoma, Mkoa huo kupitia Mkuu wa Mkoa Mh. Rosemary Senyamule umekuwa ukitekeleza kampeni ya “Mti wangu birthday yangu” ambayo uhusisha upandaji wa miti kila mwezi ...
Imewekwa: May 17th, 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki zoezi la kuboresha taarifa zake katika daftari la kudumu la wapiga kura leo Mei 17, 2025 katika ofisi ya Kijiji c...
Imewekwa: May 14th, 2025
Mafunzo kwa watendaji ngazi ya kata na waandishi wasaidizi kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili yametolewa leo tarehe 14 Mei, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Business ...