Imewekwa: November 13th, 2025
Magonjwa yasiyoambukiza ikiwa ni pamoja na shinikizo la juu la damu, kisukari, saratani, na magojnwa ya moyo yamekuwa chanzo cha vifo vingi, huku yakitajwa kuathiri zaidi watu wenye umri kuanzia miaka...
Imewekwa: October 27th, 2025
Leo Oktoba 27, 2025 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imetoa mikopo ya Tsh. 133,000,000 kwa vikundi 24 vya wajasiriamali, ambavyo vimejumuisha vikundi 10 vya vijana, vikundi 13 vya wanawake na kikundi...
Imewekwa: October 11th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja, leo Oktoba 10, 2025 amekabidhiwa na taasisi ya ELICO vyombo vya usafiri, na vifaa mbalimbali vya TEHAMA; ikiwa ni pamoja na pikipiki tatu za umeme, bais...