• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kamishina Tume Huru Ya Uchaguzi Atembelea Mafunzo Ya Wasimamizi Wasaidizi Wa Uchaguzi Ngazi ya Kata Wilayani Chamwino

Imewekwa: August 6th, 2025

Kamishna wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Asina Omari, ametembelea mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata (ARO Kata) Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino ambayo yamehitimishwa leo Agosti 6, 2025 katika Wilaya ya Chamwino.

Akizungumza katika ziara yake hiyo amewasisitiza wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata, Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kuzingatia viapo walivyoapa kabla ya kuanza kwa mafunzo hayo,  hivyo amewataka kuviishi viapo hivyo kwa vitendo wakati wa utekelezaji wa majukumu yao.

Pia Kamishna. Asina amewataka watendaji hao wa uchaguzi kuzingatia utaratibu uliowekwa wa utoaji na upokeaji wa taarifa za masuala mbalimbali ya uchaguzi, hivyo amewataka kuepuka kupokea maelekezo kutoka kwa mtu au taasisi ambayo haihusiki na uchaguzi ispokuwa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Halikadhalika, Kamishana. Asina amewasisitiza washiriki wa mafunzo hayo kuhakikisha hawatoi upendeleo kwa wagombea au chama chochote cha siasa kinachoshiriki uchaguzi katika hatua mbalimbali za uchaguzi

“Kuviishi na kuheshimu viapo mlivyoapa ni kutofanya upendeleo wa aina yeyote kwa wagombea au vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi katika hatua mbalimbali, iwe kwenye kutoa fomu, kwenye uteuzi, kwenye kampeni hadi hatua ya kutangaza matokeo, epuka upendeleo”. Alisisitiza Kamishna Asina.

Kwa upande wa Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Dodoma Ndg. Jofrey Evarist Pima amewaasa wasimamizi hao wa uchaguzi ngazi ya kata kutekeleza majukumu yao kwa uaminifu, uadilifu na weledi pamoja na kuzingatia katiba ya nchi, sheria ya uchaguzi, kanuni, miongozo pamoja na maelekezo ambayo tayari yametolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Aidha, amewahimiza kutotekeleza majukumu yao ya uchaguzi kwa mazoea na uzoefu bali tu kwa sheria, kanuni, miongozo na maelekezo ya Tume.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Kamishina Tume Huru Ya Uchaguzi Atembelea Mafunzo Ya Wasimamizi Wasaidizi Wa Uchaguzi Ngazi ya Kata Wilayani Chamwino

    August 06, 2025
  • Wasimamizi Wasaidizi Wa Uchaguzi Ngazi Ya Kata Wanolewa Chàmwino

    August 04, 2025
  • Dkt. Mpango Toa Rai Kwa Viongozi Kutambua Wajibu Wa Kutekeleza Dira Ya Taifa 2050 Na Mipango Ya Maendeleo Ya Sekta Ya Kilimo

    August 01, 2025
  • Wanakijiji Ndebwe, Chamwino Wapatiwa Majiko Banifu

    July 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.