Imewekwa: February 16th, 2025
Kamati ya kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeipongeza Halmashauri ya Chamwino Kwa kuonyesha na kusimamia thamani ya fedha katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya elimu katika Halmashauri hiyo.
...
Imewekwa: February 2nd, 2025
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko amehaidi kupeleka umeme katika vitongoji vyote katika Wilaya ya Chamwino.
Mhe. Dkt. Biteko ametoa ahadi hiyo leo tarehe 2 Februa...
Imewekwa: January 30th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja leo terehe 30 January, 2025 amewahimiza Waheshimiwa Madiwani kufuatilia wanafunzi wa awali, darasa la kwanza na kidato cha kwanza ambao hawajaripoti ...