• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Chamwino Yapongezwa kwa Kupata Hati Safi 2020/2021

Imewekwa: June 23rd, 2022


Katbu Tawala wa Mkoa wa Dodoma ndugu Fatuma Mganga ametoa pongezi kwa Halmashauri ya  Wilaya ya Chamwino kwa kupata hati safi kwenye ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2020/2021.

Pongezi hizo amezitoa kwenye kikao cha Baraza la Madiwani la kupitia hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa wa Hesabu za Serikali (CAG) kilichofanyika leo Juni 23, 2022 kwenye Bwalo la Chamwino Sekondari.

Aidha Katibu Tawala wa Mkoa amepongeza juhudi zilizofanyika za kufunga hoja 07 za mwaka wa fedha 2020/2021 kati ya hoja 27 na kufuta hoja 36 za miaka ya nyuma.

Sambamba na pongezi hizo amewataka Wataalam wanaohusika na hoja kuhakikisha wanazipatia majibu mapema hoja zote zilizobaki ili ziweze kufungwa na hivyo kuondokana na kuwa na mlundikano wa hoja zisizo za lazima.

"Twendeni tukajibu hizi hoja, kuna tabia tukimaliza vikao hivi tunafunga kitabu mpaka tena karibu na  CAG anapokuja ndio tunaanza kutafuta majibu. Hatuwezi kupata majibu, majibu mengine yanapaswa yaanze kufanyiwa kazi mapema. Tusipojiwekea mkakati sasa tutakuja kukumbuka wakati CAG anakuja ambapo tunakuwa hatuna muda."

Vilevile Katibu tawala wa Mkoa ameipongeza Halmashauri kwa kuanzisha mradi mkubwa wa kilimo( block farming) utakaoiwezesha Halmashauri kuongeza mapato na kuitaka Halmashauri iendelee kubuni vyanzo vingine vipya vya mapato vitavyoiwezesha kujiendesha yenyewe pasipo kusababisha madeni ya ndani.

Pamoja na hayo Katibu Tawala Mkoa amesisitiza suala la wataalamu wa Halmashauri kutunza vizuri kumbukumbu za nyaraka kwani utunzaji hovyo wa nyaraka hizo hupelekea upotevu ambao matokeo yake ni kutengeneza hoja.


Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.