• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Waziri Kairuki Azindua Huduma Kituo cha Afya Dabalo

Imewekwa: May 9th, 2023

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Angellah Kairuki , amezindua jengo la upasuaji na wodi ya wazazi katika kituo cha afya Dabalo wakati wa hafla ya makabidhiano ya jengo la upasuaji, wodi ya wazazi, vifaa tiba , vifaa na gari la kubebea wagonjwa katika kituo hicho.

Akizungumza katika hafla hiyo mei 09, 2023, amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma bora za afya kwa kuwasogezea huduma hizo karibu na makazi yao.

“Ndugu zangu Mhe. Rais wetu kila mara anaendelea kupambana kuhakikisha anaendelea kukazania vipaumbele vyake, nchi yetu inamahitaji makubwa na mmeona ni kwa namna gani ndani ya muda mfupi ameendelea kuweka mkazo katika kushughulikia vipaumbele mablimbali ikiwemo kuweka huduma karibu na wananchi, ”Alisema Waziri Kairuki.

“Mmeona ni kwa namna gani kwa sekta ya Afya jinsi ambavyo ameweka kipaumbele katika utoaji wa huduma za afya lakini vilevile sio huduma tu pia kuhakikisha kwamba hata zile gharama zinazotozwa basi zinakuwa ni gharama ambazo kweli wananchi wetu wanaweza kuzimudu”, alisema. 

Mhe. Angellah Kairuki amelishukuru shirika la Umoja wa Mataifa linaloshugulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) kupitia mradi wa kuboresha huduma za afya ya uzazi , watoto na vijana (RMNCAH – UFPA) iliyofadhiliwa na serikali ya Denmark

“Nipende pia kuwashukuru shirika la Umoja wa Mataifa linaloshugulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) kupitia mradi wa kuboresha huduma za afya ya uzazi , watoto na vijana (RMNCAH – UFPA) iliyofadhiliwa na Serikali ya Denmark kwa namna ambavyo wameendelea kutoa huduma mbalimbali na misaada katika sekta ya afya na sekta nyingine ,”alisema.

“Hii inaonyesha ni namna gani wanayo dhamira na wajibu wa kuendelea kushirikiana na kuunga mkono jitihada na juhudi mbalimbali za Serikali na hasa katika kuwafikia wananchi wetu wa Tanzania na hususani walio achwa nyuma na huduma bora za afya,” alisema Waziri Kairuki

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Chamwino Waibuka Kidedea Tuzo Za MSD Kanda Ya Kati

    May 11, 2025
  • Kata, Shule Na Walimu Walioibuka Kidedea Kwa Ufaulu 2024 Wajizolea Vitita Chamwino

    May 10, 2025
  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.