• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Waziri Bashe Azindua Usajili wa Wakulima na Mwongozo wa Utoaji wa Ruzuku ya Mbolea

Imewekwa: July 4th, 2022

Mheshimiwa waziri wa Kilimo Hussen Bashe amefanya uzinduzi wa usajili wa wakulima na mwongozo wa utoaji wa ruzuku ya mbolea msimu wa 2022/2023 ambao utafanyika kidigitali. 

Uzinduzi huo ameufanya leo Julai 4, 2022 kwenye ukumbi wa Serikali ya kijiji cha Chamwino Wilayani Chamwino. Katika uzinduzi huo Mhe Bashe aliongozana na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. David Silinde. Viongozi wengine waliohudhuria ni Katibu Mkuu na Naibu katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Wakuu wa Wilaya wa Wilaya za Mkoa wa Dodoma, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawemameneja wa VODACOM na Benki ya CRDB na Mkurugenzi mtendaji toka TFRA.

Katika uzinduzi huo Mhe. Waziri ameeleza kuwa Serikali imeshanunua mashine za kupima udongo143 ambazo zitagawiwa kwenye Halmashauri zitakazotumika kupima afya ya udongo kwenye mashamba ya wakulima na baada kupima mkulima atashauriwa eneo lake linapaswa kulima mazao gani au atumie virutubisho gani au mbolea itakayoendana na eneo lake. Na akishapimiwa atapewa cheti kitakachoonyesha matokeo ya kipimo.Aidha ameeleza kuwa huduma hio itatolewa bure.

Vilevile Mhe. Waziri ameeleza kuwa Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan anaumizwa na umasikini wa watu wa Tanzania. Kokote anakozungumza utasikia akizungumzia kuboresha kilimo na kuondoa umasikini. Na Mhe. Rais hajaishia tu kusema, ukichukua bajeti ya kilimo ya mwaka huu wa fedha ni zaidi ya shilingi tilioni moja na haijakwenda kwenye posho wala vikao.

Mhe. Waziri pia ameeleza kuwa kwenye sherehe za nanenane mwaka huu Mhe. Rais Mama Samia Suluhu Hassan atashuhudia utiaji saini wa mikataba ya umwagiliaji yenye thamani ya bilioni 400 ambazozitakwenda kujenga skimu za umwagiliaji.

Vilevile Mhe. Waziri ameeleza kuwa Serikali imetenga kiasi cha shilingi ilioni 150 kwa ajili ya ruzuku ya mbolea kwa wakulima.

Katika mapinduzi ya kilimo Wizara imepanga imepanga kufanya kilimo cha mfano cha mashamba makubwa (block farming) kwa mkoa wa Dodoma katika Wilaya ya Chamwino na Bahi ambapo jumla ya zaidi ya hekta elfu 23, na kwa Chamwino pekee zimetengwa hekta elfu 20 na mashamba haya yanakwenda kuajiri vijana, na wataanza na kilimo cha alizeti na watapewa umiliki wa miaka 30 adi 60 juu ya umiliki wa hati kuu. Na kwa block  tatu za Chamwino moja ya kata ya Membe yenye hekta 8000 itakuwa ya skimu ya umwagiliaji.Katika uzinduzi huo Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Gift Isaya Msuya  alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.