• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

Imewekwa: May 6th, 2025


Wananchi wa kijiji cha Chinangali II Kata ya Buigiri, Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino leo Mei 6, 2025 wamepokea kwa furaha mradi wa ujenzi wa daraja na uchongwaji wa barabara ya Mabeo hadi Mpela yenye urefu wa kilomita 5.

Mradi huo umetambulishwa leo sambaba na kutambulishwa Mkandarasi Issa Amiri Kigaire katika Mkutano mkuu wa kijiji cha Chinangali II ambapo utahusisha ujenzi wa daraja kubwa la mawe lenye midomo 4 pamoja na uchongwaji wa kilomita 4 ya barabara ya kiwango cha changarawe ambapo jumla ya Shilingi milioni 261 kuakisi thamani ya mradi huo ambao utatekelezwa ndani ya kipindi cha miezi sita na kukamilika mwezi Oktoba, 2025.

Ujenzi wa daraja na barabara hiyo umekuja kufuatia kero ya muda mrefu ya Wananchi wa Chanangali II kuzunguka kwa umbali mrefu kufuata huduma za kijamii ikiwemo ya afya katika kituo cha afya Chamwino, hivyo mradi huo utasaidia kupunguza umbali na kuondoa kadhia hiyo kwa Wananchi pamoja na kuleta neema ya fursa za kiuchumi kwa wakazi wa Chinangali II kwa kupata ajira mbalimbali kipindi cha utekelezwaji wa mradi huo.

Akizungumza wakati wa kutambulishwa mradi huo Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri na Diwani wa Kata ya Buigiri Mhe. Kenneth Yindi ameelezea mradi huo utakavyoleta manufaa kwa Wananchi wa Chamwino kwa kuwa barabara hiyo kuwa katika mpango wa kuanza kutumika kama njia ya daladala kutoka Chamwino Ikulu hadi Dodoma Mjini ili kurahisisha usafiri.

Kwa upande wa Sargent. Imani John Mwakilama kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ambapo barabara hiyo itapita katika eneo la Jeshi hilo amewaomba Wananchi hasa watakao bahatika kupata ajira wakati wa utekelezwaji wa mradi huo kuhakikisha hawafanyi vitendo vitakavyohujumu mradi huo.

Halikadhalika, Kaimu Meneja wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Chamwino Injinia David Ndali amewaasa Wananchi kuhakikisha hawapitishi mifugo ikiwemo Ng’ombe ambao kwato zao huchangia kuharibu barabara ili barabara hiyo iweze kutumika kwa muda mrefu.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Chamwino Waibuka Kidedea Tuzo Za MSD Kanda Ya Kati

    May 11, 2025
  • Kata, Shule Na Walimu Walioibuka Kidedea Kwa Ufaulu 2024 Wajizolea Vitita Chamwino

    May 10, 2025
  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.