• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Viongozi Tangazeni Mazuri Yanayofanywa Na Mhe. Rais Samia

Imewekwa: November 16th, 2023

Viongozi wa Chama cha Mapinduzi wametakiwa kutangaza mazuri yanayofanywa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Agizo hilo limetolewa na Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dodoma Ndugu Pilli Mbaga Novemba 15, 2023 wakati wa ziara ya Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dodoma ya kukaguwa miradi ya maendeleo na utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi Wilayani Chamwino.

"Bado mna kazi kubwa viongozi wa Chama kwenda kusema yale mazuri yote yanayoletwa kwenye kata yetu, tukaseme miradi iliyoletwa hapa. Kama kuna zahanati tukaseme zahanati zimejengwa, madarasa yamejengwa. Tuwahabarishe wananchi wawe na taarifa hizo." Alisema Katibu.

Alisisitiza kuwa jambo kubwa ni kwenda kufanya mikutano ya hadhara, mkawaambie miradi iliyopo.

"Niwaombe sasa viongozi wa Chama na viongozi wa Serikali na Mhe. Diwani, kazi kubwa uliyonayo sasa ni kufanya mikutano ya hadhara kwenye mitaa ili kuwaambia wananchi yale yote yanayofanywa na Mhe. Rais na miradi yote iliyokuja kwenye kata yako ili waweze kifahamu." Alisema Katibu.

Vilevile alisisitiza viongozi waendelee kukagua utekelezaji wa ilani na hapo watakuwa wamemuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi anazozifanya za kuweza kuleta miradi mingi na fedha nyingi.

Mradi iliyokaguliwa na Kamati ya siasa Mkoa wa Dodoma ni pamoja na ujenzi wa shule mpya ya ya mfano ya wasichana ya Mkoa wa Dodoma iliyopo kata ya Manchali, ujenzi wa mabweni shule ya Sekondari ya Chilonwa iliyopo kata ya Chilonwa, Kituo cha afya Dabalo kilichopo kata ya Dabalo, ujenzi wa shule mpya ya Msingi Kwahemu iliyopo kata ya Haneti, mradi wa maji Iringa Mvumi uliopo kata ya Iringa Mvumi na ujenzi wa shule ya msingi Mjeloo yenye mikondo miwili iliyopo handali.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.