• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TCI yatambulisha mradi Chamwino

Imewekwa: December 14th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kwa kushirikiana na wadau wa TCI wakishilikiana na Jhpiego wametambulisha mradi utakaohusumasuala ya uzazi wa mpango.

Mradi huu umezinduliwa Desemba 13, 2022, kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.

Mradi huu umetambulishwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Chamwino pamoja na Wakuu wa Idara wa Halmashauri.

Akizungumza katika kikao hicho Mkurugenzi wa shirika la Jhpiego Tanzania Bibi Rose Mzava anesema mradi huu unatekeoezwa katika mikoa nane Nchini ukiwemo mkoa wa Dodoma. Kwa mkoa wa Dodoma walianza na Halmashauri ya jiji la Dodoma na sasa wanaanzisha Chamwino.

Akizungumza alipokuwa anafungua kikao nwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ndugu Mohamed Mfaki amesema wameupokea mradi huo kwa asilimia mia moja. Aliwaomba wakuu wa Idara kutoa ushirikiano na kuyapokea maelekezo yatakayotolewa kwa umakini ili mradi uwe na tija.

Vilevile aliwaomba kupekeka elimu kuhusu mradi huu kwa wananchi pamoja na kupeleka !huduma rafiki kwa vijana.

Kwenye utambulisho huo wajumbe waliweza kujadili na kuuliza maswali mbalimbali kuhusu mradi na maswali yote yaliweza kujibiwa.

Naye Mratibu wa mama na mtoto (RCH) wa Halimashauri ya jiji la Dodoma alitoa ushuhuda wa jinsi wanavyotekeleza mradi huo kwenye Halmashauri yao na mafanikik ambayo tayari wameyapata.

Mwisho wajumbe waliombwa na Bibi Mfalila msimamizi wa mradi kwa mkoa wa Dodoma kujitokeza kwa hiari kwa ajili ya kuwa ma 'focal person' wa mradi ambapo walijitokeza watumishi watano, Hàppy Mgongo kutoka Idara ya Elimu msingi, Raymond Mahugi kutoka Idara ya Mipango, Zena Ibrahim kutoka Idara ya Usafi na udhubita wa taka, Nicholaus Achimpota kutoka idara ya utamaduni, saana na michezo na Mtemela kutoka Idara ya Ujenzi

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.