Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI YARIDHISHWA NA HALI YA USALAMA NA UFANYAJI MITIHANI YA DARASA LA SABA

Imewekwa: October 8th, 2020

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu, Gerald Mweli ameridhishwa na hali ya usalama na ufanyaji wa mitihani ya darasa la Saba Mkoani Dodoma.

Ameyasema hayo leo wakati alipotembelea baadhi ya shule za msingi mkoani Dodoma kwa ajili yakujionea hali halisi ya mazingira yakufanyia mitihani ya kumaliza Elimu ya msingi.

Mweli amesema kuwa lengo lakutembelea shule hizo nikuona taratibu zote za ufanyaji mitihani zinafuatwa na hali ya usalama wa mazingira yakufanyia mitihani inaridhirisha ili kuhakikisha mitihani hiyo inakamilika katika hali ya amani na utulivu nchi nzima.

Amesema kuwa ameridhirshwa na maandalizi,mazingira na utulivu wa wanafunzi katika shule hizo hali ambayo inatoa matumaini kwa wanafunzi kufanya mitihani yao katika mazingira salama na yenye utulivu mkubwa.

‘Nipongeze Uongozi wa Mkoa wa Dodoma kwa maandalizi mazuri ambayo yamewezesha wanafunzi kufanya mitihani yao ya kumaliza Elimu ya msingi katika mazingira bora yenye amani na utulivu’ Amesisitiza Mweli.

Amewataka wasimamizi wa mitihani kote nchini kuendelea kufuata sheria,taratibu na miongozo ya usimamizi wa mitihani kwa kuhakikisha wanafunzi wanafanya mitihani yao bila usumbufu ili mitihani hiyo iweze kukamilika kwa amani na utulivu.

Aidha ametoa wito kwa wasimamizi walioteuliwa kufanya kazi yao ya usimamizi kwa umakini na uadilifu kwa kuzingatia kanuni za mitihani na miongozo waliopewa kwakuwa mitihani ni eneo muhimu sana katika upimaji uelewa wa wanafunzi.

 Wanafunzi milioni 1,024,007 wanatarajiwa kufanya mitihani ya kumaliza Elimu ya msingi kati yao wavulana ni 493,289 sawa na asilimia 48.17 na wasichana 530,718 sawa na aslimia 51.83.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mchengerwa Awataka Maafisa Habari Kuhakikisha Wananchi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • Miche 350 Ya Matunda Yapandwa Kuadhimisha Kampeni Ya "Mti Wangu Birthday Yangu"

    May 22, 2025
  • Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Ashiriki Zoezi La Kuboresha Taarifa Kwenye Daftari La Kudumu La Wapiga Kura

    May 17, 2025
  • Mafunzo Ya Uboreshaji Wa Daftari La Wapiga Kura Awamu Ya Pili Yatolewa Chamwino

    May 14, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.