• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Serikali Kufanya Maboresho Makubwa Sekta ya Mifugo na Uvuvi

Imewekwa: November 15th, 2022

"Serikali ya awamu ya sita imepanga kufanya mabadiliko makubwa kwenye sektamya mifugo."

Hayo yamesemwa kwenye ufunguzi wa mafunzo rejea kwa maafisa ugani Nchini kwa kanda ya kati yanayofanyika Wilayani Chamwino kwa siku mbili, Novemba 14,2022.

Akizungumza wakati akifungua mafunzo hayo Waziri wa mifugo na uvuvi Mhe. Mashimba Mashauri Ndaki amesema sekta ya mifugo inawategemea maafisa ugani katika kuleta matokeo chanya japokuwa wapo wachache. Alieleza kwa uchache wao huohuo kama watakipenda wanachokifanya watafanikiwa.

" Sekta ya mifugo kwa matokeo chanya tunawategemea ninyi. Ninyi ndio askari wa mstari wa mbele ili kuleta mafanikio." Alisema Mhe. Ndaki.

"Kwa mpango huu wa mabadiliko tunaweza kuleta mabadiliko ya mtu mmoja mmoja. Aliongeza kusema kuwa sekta ya mifugo kwa kiasi kikubwa imetawaliwa na ufugaji wa asili na tukiendelea na na tukiendelea na uasili huu hautatufikisha mahali pazuri." Alisema Mhe. Ndaki.

Aidha Mhe. Waziri Ndaki alieleza kuwa kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 sekta ya mifugo inakuwa kwa 7% . Aliendelea kusema kwa idadi ya mifugo tuliyonayo tungefuga kwa tija tungeweza kuishi kwa kutegemea ng'ombè tu. Lakini kwa sasa unakuta ng'ombe wanauzito mdogo jambo linalopelekea kuwa na tija kidogo na maziwa machache.

Mhe. Ndaki alieleza kuwa kwa mwaka huu wa fedha wamepanga kufanya nafunzo kwa ngazi zote kwa wataalamu na wafugaji. Alisema tukiwaelimisha wafugaji wetu itakuwa chanzo cha kuwabadilisha ili wafuge kwa tija.

Vilevile Mhe. Waziri alieleza kuwa kupitia mpango wa maboresho wameanzisha vituo atamizi kwa vijana ambapo vijana 240 waliohitimu masuala ya mifugowamesajiliwa kwenye vituo hivi. Lengo likiwa ni kutengeneza wafugaji wa leo na kesho ili kuwa na wafugaji wenye tija. 

Alieleza kuwa wanamshukuru Mhe. Rais mama Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia bl. 5 kuwezesha vituo hivyo na mradi huo wameuita "Samia Ufugaji Programme". Baada ya mwaka mmoja watafuzu na kuondoka na kuita watu wengine.

Kuhusu changamoto ya vitendea kazi Mhe. Ndaki alieleza kuwa tayari wameshagawa pikipiki 300 na kwa mwaka huu wa fedha watatoa pikipiki 1200 na magari 13 kwenye mamlaka za Serikali za Mitaa.

 Katika kufikia maboresho Wizara imeanzisha mfumo ( M - kilimo na Ugani kiganjani) ambayo itawezesha Wizara kupokea taarifa moja kwa moja toka kwa maafisa ugani na alitoa rai kwa ambao hawajajisajili wajisajili. Aliagiza wafugaji pia wasajiliwe kwenye mfumo.

"Tumeanza mifumo ya usimamizi wa huduma za mifugo ( M - kilimo na ugani kiganjani) kupitia mifumo hii Wizara itapata taarifa moja kwa moja toka kwenu." Alisema Mhe. Waziri.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.