• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Imewekwa: October 11th, 2024

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua zoezi la uandikishaji wa daftari la mpiga kura wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa leo Oktoba 11, 2024 katika Kijiji cha Chamwino, Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.

Mh. Rais amezindua zoezi hilo kwa kujiandikisha katika daftari la mpiga kura uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kitongoji cha Sokoine, Kijiji cha Chamwino.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo amewaasa wananchi wote kujitokeza kujiandikisha ili kuchagua viongozi wa kijiji na kitongoji ili kupata haki yao ya kikatiba pamoja na kutochanganya kati ya zoezi la kujiandikisha katika daftari la mpiga kura wa uchaguzi Serikali za Mitaa pamoja na kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpira kura kwa uchaguzi wa mwaka 2025 ambalo limetangulia katika Wilaya ya Chamwino.

Katika uzinduzi huo amesema pia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni muhimu kwani viongozi wa Vijiji na Vitongoji husaidia kuhakikisha usalama katika maeno yao unapatikana kwa kusaidia kutambua wakazi wa maeneo yao. Pia husaidia kukuza maendeleo kuanzia ngazi ya Vitongoji na Vijiji.

Aidha, Mh. Dtk. Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi kuhakikisha wanachagua viongozi wapenda maendeleo na watakaopeleka maendeleo katika maeneo yao. Pia amewaasa wananchi kuhakikisha zoezi la uandikishaji wanalifanya kwa usalama kwani ndilo huleta taswira ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Zoezi la kuandikisha orodha ya wapiga kura wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa limeanza leo Oktoba 11, 2024 na kutamatika tarehe 20 Oktoba 2024.

Serikali za Mitaa Sauti ya Wananchi, Jitokeze Kushiriki Uchaguzi.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.