• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NMB Yakabidhi Vifaa Vyenye Thamani ya Milioni 43 Wlayani Chamwino

Imewekwa: July 19th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Staki Senyamule, amewapongeza wanafunzi wa kidato cha sita Shule ya Sekondari Chilonwa kwa kupata ufaulu mzuri katika mtihani 

Mkuu wa Mkoa amehudhuria hafla iliyoandaliwa na benki ya NMB kwa ajili ya kumkabidhi vifaa mbalimbali kwa ajili ya shule za msingi na Sekondari pamoja na vituo vya kutolea huduma za Afya ikiwa ni sehemu ya benki kurudisha kwa jamii. Hafla imefanyika shule ya msingi Mizengo Pinda Julai 19, 2023.

Akiongea kwenye hafla hiyo meneja wa kanda ya kati wa NMB Bibi Janeth Hango amesema vifaa vilivyotolewa ni mabati 88 na misumari kwa ajili ya shule ya sekondari ya makang'wa yenye thamani ya tsh 4900,000/= .mabati 111, mbao 227, misumari na waya kg 110 kwa ajili ya shule ya msingi Mizengo Pinda vyenye zaidi ya shilingi milioni 10, mabati 95, mbao 245, misumari pamoja na waya kg 178 kwa ajili ya shule ya msingi Chinangali vyenye thamani ya tsh. Milioni 5.

Vifaa vingine vilivyotolewa ni mabati 160 misumari kg 135 na kofia za mabati 15 kwaajili ya shule ya msingi Dabalo vyenye thamani ya shilingi milioni 6, mabenchi 60 na makabati 6 ya maabara kwa ajili ya shule ya sekondari Buigiri vyenye thamani ya shilingi milioni 5. Vifaa hivyo vyote vimegharimu jumla ya kiasi cha shilingi milioni arobaini na tatu (43).

Akizungumza kwenye hafla hiyo mkuu wa mkoa ambaye alikuwa mgeni Rasmi amempongeza Mhe. Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa kufanya mapinduzi makubwa kwenye sekta ya Elimu akitolea mfano ujenzi wa madarasa ya kidato cha tano, ujenzi wa shule mpya za sekondari, shule mpya ya mfano ya wasichana ya mkoa wa Dodoma na chuo cha VETA ambavyo vyote vinajengwa wilayani Chamwino.

Mkuu wa mkoa pia ameipongeza benki ya NMB kwa kuona umuhimu kwa kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kuchangia vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 43 na kauli mbiu ya Mhe. Rais anayosema elimu, afya na mazingira wameona watembee nayo. Kipekee ameshukuru kwa kuamua kuleta misaada hiyo Dodoma na hususani Chamwino ambapo kulikuwa na uhitaji mkubwa.

Amewapongeza pia wanachi kwani wao ndio walioanzisha ujenzi wa shule ya Mizengo Pinda. Alitoa wito kwa wanachi wa Dodoma kuendelea kuanzisha miradi kwani wadau huchangia sehemu ambayo imeshaanzishwa na kuhitaji uksmilishaji.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.