• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu Mkoa Akagua Miradi Chanwino

Imewekwa: February 2nd, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule , amemshukuru Rais wa M

Jamhuri ya Muungano wa Tanznaia , Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia shilingi takribani billion 12 za ujenzi wa bwawa la maji kwaajili ya kilimo cha umwagiliaji, mradi unaotekelezwa katika kata ya membe iliyopo wilaya ya Chamwino.

Ameyasema hayo wakati wa ziara ya kukagua mradi huo 01, februari 2023, amesema mradi huo ukikamilika utapunguza kilimo cha kutegemea mvua nakuanza kilimo cha umwagiliaji.

Mhe Rosemary alisema kilimo cha uhakika ni cha kisasa ili mazao yasikose maji baadaya mvua kukata.

“Mhe. Rais ameziweka kwasababu anajuwa kuwa wanachamwino wanahitaji kilimo mmekuwa ni wakulima wa siku nyingi na mmekuwa mkilima kilimo cha kutegemea mvua”.

“Uhakika wa kilimo cha kisasa ni cha umwagiliaji mvua inaisha unaendelea kumwagilia kwa hiyo mazao hayakosi maji hiyo ndio dhamira ya Mhe. Rais hataki tena kusikia Chamwino ina njaa,” Alisema Mkuu wa mkoa.

Hata hivyo amewataka wanachi kuhakikisha wanaulinda mradi huo na kukamilika kwa uhakika ili kutekeleza malengo yaliyokusudiwa kupitia mradi huo

Mkuu wa mkoa alisema fedha zinatolewa n Mhe. Rais kupitia Serikali kuu kwaajili ya utekelezaji wa miradi zifanyiwe kazi kwa wakati na kwa ubora ili wananchi waweze kupata huduma iliyokusudiwa.

Aidha amewataka wakandarasi kuwa makini katika utelekezaji wa miradi wanayopewa na Serikali, pia amewata mainjinia kuwepo eneo la mradi ili kuhakikisha utekuelezaji ukamilika kwa ubora unatakiwa.

“Lakini nisisitize sana leo tumepewa sisi wakandarasi wazawa wa kitanzania ni kwa upendo wa Mhe Rais kwa hiyo fanyeni kwa uhakika, mabwawa haya hayataki wizi yanataka umakini mkubwa bila kuruka hata hatua “.

“Wananchi kuweni walinzi wa kwanza katika huu mradi lakini dhamira ya Mhe. Rais wetu na Serikali fedha zikitolewa, miradi ifanyike kwa wakati na kwa ubora ili wananchi waende kupata huduma waliyoikusudia,” al

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.