• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mhe. Senyamule Akagua Miradi ya Maendeleo Chamwino

Imewekwa: February 21st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Staki Senyamule Februari 21, 2024 amefanya ziara ya kikazi Wilayani Chamwino ambapo amekagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani humo  pamoja na kusikiliza kero za wananchi.

Miradi iliyokaguliwa ni ya ujenzi wa shule ya mfano ya Mkoa ya wasichana, ujenzi wa uzio wa ofisi ya Halmashauri na zahanati ya kijiji cha Wilunze.

Akikagua miradi hiyo mkuu wa mkoa wa Dodoma ametoa maelekezo mbalimbali kwa wataalam na wasimamizi wa miradi hiyo ili ikamilishwe kwa haraka.

Wakizungumza kwenye ziara hiyo  mhandisi wa Halmashauri anayesimamia mradi wa shule ya sekondari ya mkoa amemuhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa majengo yaliyobaki yatakamilika ndani ya siku ishirini baada ya ziara ya Mkuu wa mkoa.

Aidha Mkuu wa Mkoa ameelekeza Zahanati ya Wilunze iwe imekamilika ifikapo tarehe 15 ya mwezi April, 2024.

Alipokuwa shule ya wasichana ya Mkoa wa Dodoma Mkuu wa mkoa alizungumza na wanafunzi wa kidato cha kwanza ambapo amewashauri kumrudishia shukrani Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan kwa kusoma kwa bidii na kufaulu vizuri masomo yao.

Nao wanafunzi wamemshukuru Mhe. Rais kwa kuwajengea shule nzuri wametoa wito kwa wanafunzi wenzao ambao wamechaguliwa kuripoti shuleni mapema kwani masomo yamekwishaanza.

Vilevile Mkuu wa Mkoa amefanya mkutano wa hadhara ambapo amesikiliza na kujibu kero zilizotolewa na wananchi.

Ameutumia pia mkutano huo wa hadhara kuelezea mapokezi ya Fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo zilizopelekwa na Serikali kwenye kata hiyo, kuwa takribani zaidi ya shilingi bilioni tano (5) zimetekeleza miradi kwenye kata hiyo pekee, hivyo wanapaswa kumshukuru Mhe. Rais Mama Samia kwa kazi hiyo kubwa aliyoifanya kwenye kata yao.

Sambamba na ukaguzi wa miradi, Mhe. Senyamule amekagua eneo la uwanja yatakapofanyikia maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambapo kimkoa yatafanyika Wilayani Chamwino.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.