• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Makamu wa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango Aweka Jiwe La Msingi Kiwanda Cha Kusindika Zabibu Chamwino

Imewekwa: August 19th, 2024

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.  Dkt. Philip Mpango ameweka jiwe la msingi kwenye kiwanda cha kusindika zabibu kilichopo Chinangali II Halmashauri ya wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma. Uwekaji huo wa jiwe la msingi umefanyika wakati wa ziara ya siku nne ya kikazi atakayoifanya mkoani Dodoma iliyoanza leo Agosti 19 akitembelea na kukagua miradi ya maendeleo kwenye wilaya za  mkoa wa Dodoma.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo akiwa  Wilayani Chamwino amepongeza jitihada za wakulima wa zabibu kwa kuzalisha zao hilo pamoja na kuwaomba kuongeza uzalishaji wa zao hilo kwani wanywaji mvinyo ni wengi na kuwepo kwa soko la uhakika kutakakotokana na uwekezaji wa kiwanda hicho.

Pia, ameitaka Wizara ya Kilimo kuhakikisha wanazalisha miche bora ya zao hilo la zabibu ili kuongeza thamani ya bidhaa hiyo sokoni kwani Tanzania hutumia bilioni 19.5 kwa mwaka kuagiza wastani wa lita milioni 10 za mchuzi wa zabibu kutoka nje ya nchi, hivyo uzalishaji bora wa zabibu na uwepo wa kiwanda hicho utaondoa changamoto ya zao hilo.

Kwa kulinda uzalishaji wa zao la zabibu Mh. Makamu wa Rais ameiagiza Wizara ya Kilimo kulinda na kutenga maeneo ya kilimo cha zabibu kutokana na ongezeko la kasi ya ujenzi katika mkoa wa Dodoma na kuwataka wananchi kutunza mazingira ya mkoa wa Dodoma kwa kutokukata miti hovyo ili kuepuka kutengeneza jangwa.

Aidha, amewahimiza wananchi na wadau kuchangamkia fursa za maendeleo zinazopatikana katika mkoa wa Dodoma ikiwemo kilimo cha zao la tende na komamanga kwani hustawi vizuri katika ardhi ya Dodoma pamoja na fursa za ufugaji wa samaki ili wananchi waweze kujikwamua kiuchumi na kuongeza pato la taifa.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.