• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mafunzo Ya Uboreshaji Wa Daftari La Wapiga Kura Awamu Ya Pili Yatolewa Chamwino

Imewekwa: May 14th, 2025

Mafunzo kwa watendaji ngazi ya kata na waandishi wasaidizi kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili yametolewa leo tarehe 14 Mei, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Business Center Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.

Ikumbukwe zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa awamu ya pili litaanza tarehe 16 Mei na kutamatika tarehe 22 Mei 2025 ambapo litahusisha mambo mbalimbali ikiwemo:

1 kuandikisha mpiga kura mpya mwenye umri wa miaka 18 na zaidi na atakayetimiza umri huo ifikapo tarehe ya uchaguzi 2025.

2 kutoa kadi mpya kwa mpiga kura aliepoteza au kadi yake kuharibika

3 kutoa fursa kwa mpiga kura aliyoandikishwa kurekebisha taarifa zake ikiwemo majina na taarifa zingine

4 kuhamisha taarifa za mpiga kura aliyehama kutoka kata au jimbo alipoandikishwa awali

5 kuondoa taarifa za mpiga kura aliyepoteza sifa za kuwemo katika daftari kwa sababu mbalimbali ikiwemo kifo.

Hivyo, wataalam wa Halmashauri wakishirikiana na wataam kutoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi wametoa mafunzo hayo ili kuwajengea uwezo watakaohusika katika kuboresha taarifa katika daftari la kudumu la wapiga kura kutekeleza jukumu hilo kwa weledi

Aidha, zoezi hilo lilienda sambamba na kula kiapo cha utii, kutunza siri pamoja na kujivua uwanachama wa chama chochote cha siasa kwa watendaji hao.

Akizungumza wakati akifungua mafunzo hayo Afisa Mwandikishaji wa Majimbo ya Chamwino na Mvumi Ndg. Godfrey Mnyamale ametoa wito kwa watendaji hao kwenda kutekeleza zoezi hilo kwa umakini na weledi ikiwa pamoja na kutumia lugha zenye stara kwa Wananchi na kuzingatia muda wa kufungua vituo vya uboreshaji wakati wote wa zoezi.

Vituo vyote vitafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Chamwino Yaweka Mikakati Kuhakikisha Wanafunzi Wanamaliza Mzunguko Wa Elimu

    May 28, 2025
  • Wamiliki Mashine Za Kusaga Nafaka Wahimizwa Kufunga Vinyunyizi Vya Virutubisho

    May 26, 2025
  • Mchengerwa Awataka Maafisa Habari Kuhakikisha Wananchi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • Miche 350 Ya Matunda Yapandwa Kuadhimisha Kampeni Ya "Mti Wangu Birthday Yangu"

    May 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.