• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Dc Chamwino aonya watakaokuwa na maslahi binafsi miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa

Imewekwa: October 26th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mheshimiwa Gift Isaya Msuya amewaonya watendaji wote watakaohusika na miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa wilayani Chamwino.

Mh Msuya ameyasema hayo leo Oktoba 26, 2021alipokutana na madiwani, watendaji wa kata, waratibu elimu kata, wakuu washule, wenyeviti wa serikali wa vijiji, watendaji wa vijiji na Walimu wakuu wa shule za msingi katika ukumbi wa kijiji cha Chamwino Ikulu kwa lengo la kuongea nao na kutoa maelekezo ya pamoja namna yakuendesha miradi hiyo kwa pamoja na kwakushirikiana ili kuleta tija.

"Niwaonye wakuu wa shule na walimu wakuu, fedha hizi ndugu zangu ni zamoto na mkicheza nazo nitawashughulikia, sitakubali wilaya yetu ichafuliwe na watu wachache watakaofanya ubadhirifu kwenye miradi hii" Amesisitiza Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chamwino Mheshimiwa Edson Sweti kwa upande wake amemshukuru Mkuu wa wilaya ya Chmwino kwakuona umuhimu wa kuwaita viongozi wote watakaohusika na usimamizi wa miradi hiyo ilikuwe na uelewa wa pamoja namna yakushirikiana mara miradi hiyo itakapoanza.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chamwino Dkt. Semistatus Hussein Mashimba amewasihi watendaji wote wanaohusika moja kwa moja na miradi hiyo kuanza kuainisha mapema maeneo yatakayotumika kwa ujenzi ikiwa ni pamoja na kuanza kukusanya mali ghafi zinazopatikana kwa urahisi kwenye maeneo yao kama vile mchanga, mawe na kokoto kwani hii itarahisisha kukimbizana na muda mara miradi itapoanza.

Itakumbukwa kuwa hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan aligawa fedha nchi nzima  kwa ajili ya Maendeleo ya ustawi kwa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko-19 ambapo Wilaya ya Chamwino imepokea zaidi ya Tshs. 2.6 Bilioni katika sekta ya Elimu na Afya.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.