• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Chamwino Yaweka Mikakati Utatuzi wa Changamoto za Mazingira

Imewekwa: January 11th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Gift Isaya Msuya amefanya kikao na wadau wa mazingira Wilayani chamwino pamoja na viongozi mbalimbali ngazi ya Wilaya, Kata na vijiji wakiwemo Waheshimiwa Madiwani. Kikao kimefanyika January 10, 2023 kwenye ukumbi wa Halmashauri. Lengo la kikao hicho ni kujadili na kuweka mikakati mbalimbàli ya kutatua changamoto za mazingira zinazoikabili Halmashauri ya Wilaya ya chamwino. Katika kikao hicho Mhe. Mkuu wa Wilaya alitoa maelekezo mbalimbali yakiwemo masuala ya kupanda miti ambayo ni maelekezo ya Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira ya kupanda miti ml. 1.5 kila mwaka kwa kila Wilaya.  Na miti hii inapaswa kuoteshwa na wadau mbalimbali mazingira kwa kuanzisha vitalu vyao.  "Na hii huko Tabora nilikotoka tulikuwa na utaratibu kila kata ilikuwa na utaratibu wa kuanzisha kitalu mahali kwenye Taasis ya Serikali au kwenye chanzo cha maji na wanapangiwa idadi ya miche wanayotakiwa kupanda na kuistawisha". Alisema Mkuu wa Wilaya. Kazi ya mazingira ni kuwatafutia mbegu na kuwapa utaalam wa namna ya kuotesha na kuitunza miche ya mbegu iliyooteshwa ili kupata miche itakayowasaidià kupanda kwenye kata husika. Maelekezo yalitolewa Mkurugenzi ahakikishe kufikia mwezi machi, 2023 kila kata iwe imeshapanda vitalu vya miti. "Natoa wito kufikia mwezi wa tatu kila kata ianzishe kitalu cha miti, ikiwemo ya kivuli na ya matunda na itagawanywa kwa muijbu wa maelekezo yaliyotolewa. Alisema Mkuu wa Wilaya.  Kila kata igawiwe idadi ya miche ya kupanda kutokana na idadi ya miti waliyopangiwa kupanda kati ya miche Ml. 1.5 iliyopangiwa Wilaya na watapita kukagua. Vivyo hivyo mgawanyo ufanyike kwa kila kata kwa miche itakayotolewa na TFS na tuhakikishe miti hiyo inatunzwa, kumwagiliwa na inakuwa. Pia maelekezo ya Mkuu wa mkoa wa Dododoma kupitia kampeni ya upandaji miti kila kaya inapaswa kupanda miche mitano, miwili ya matunda na mitatu ya kivuli na atafanya ukaguzi kila Wilaya. Aliomba wadau wa madini ya ujenzi, wakandarasi waliopewa kazi za ujenzi wa barabara maji na  wapenzi wa mazingira, shulè na vituo vya afya  aliwaomba washirikiane kwa pamoja maana bajeti ya Kitengo cha mazingira ni ndogo sana. Katika kikao hicho wajumbe walijadili na kuweka maadhimio mbali mbali ambayo wadau wote wa mazingira, viongozi wa kata, vijiji, vitongoji na ngazi ya Wilaya watapaswa kuyatekeleza yanayohusu mazingira hususani usafi na upandaji wa miti

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.