• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Chamwino Yaungana na Wanawake Mkoa wa Dodoma Kuazimisha Siku ya Wanawake Duniani

Imewekwa: March 8th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imeungana na Taasis nyingine Mkoani Dodoma kuazimisha siku ya Wanawake Duniani ambayo hufanyika Machi 8 ya kila mwaka.

Kwa mkoa wa Dodoma maadhimisho haya yalifanyika kimkoa Wilaya ya Kondoa viwanja vya sabasaba na kuhudhuriwa na Taasis mbalimbali zilizoko mkoa wa Dodoma, Taasis za Serikali na zisizo za Serikali.

Katika maadhimisho hayo Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imeweza kutoa wanafunzi watatu wa kike waliofanya vizuri kwa kupata daraja A kutoka katika shule za kata za Buigiri ambapo mwanafunzi aliyepata zawadi ni Furaha Bahati Lusulo, Mlowa Barabarani aliyepata zawadi ni Neema Gerad Maiko na Chilonwa ni Maria Julius Maning, pia mwanamke kinara Bibi Joanitha aliweza kupata zawadi.

Vilevile kikundi cha Ujirani mwema kutoka Kata ya Manchari kiliweza kupata zawadi ambazo zilikuwa zinatolewa kwa vikundi bora vya wanawake.

Aidha Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imeshika nafasi ya tatu kwa utoaji wa mikopo kwa vikundi kwa Halmashauri zote za mkoa wa Dodoma na kushika nafasi ya pili kwa Halmashàuri zinazofuatilia marejesho ya mikopo na kurejesha vizuri kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenyeulemavu vilivyopatiwa mikopo.

Katika maadhimisho hayo mafanikio mbalimbali yaliyofikiwa na wanawake mkoa wa Dodoma yalibainishwa. Nawanawake waliaaswa kuhakikisha wanapiga hatua zaidi katika kushika nafasi za uongozi. 

Suala la malezi ya watoto halikuachwa nyuma, wazazi walisisitizwa kuwalea watoto katika maadili mema ili kuwaepusha kujiingiza kwenye mambo maovu ya panya road na ushoga na ukatili wa kijinsia yanayoendelea kwenye jamii yetu.

Mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Staki Senyamule na viongozi mbalimbali wa Serikali walihudhuria akiwepo Waziri wa uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Ashantu Kijaji.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.