• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Chamwino Wapewa Elimu Kuhusu Homa ya Ini

Imewekwa: August 23rd, 2023

Wajumbe wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino wamepewa elimu kuhusu ugonjwa wa homa ya ini ( hepatitis B) ambao kwa sasa umekuwa maabukizi yake yamekuwa yakiongezeka kwenye jamii.

" imeonekana kuna ongezeko kubwa la tatizo la homa ya ini kati ya asilimia nne hadi tano kwa wale wanaokwenda kuchangia damu wamekuwa wakikutwa na maabukizi ya homa ya ini. Homa ya ini zipo za aina mbalimbali kuna A, B, C na D mpaka E." Alisema mganga Mkuu.

Elimu hiyo imetolewa na Mganga Mkuu wa wa Wilaya ya Chamwino Dr. Eusebius Kessy leo Agosti 22, 2023 kwenye kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya nne kilichofanyika kwenye ukumbwa mikutano wa Halmashauri hio.

Dr. Kessy amesema ugonjwa huu njia zake za maambukizi zinaendana na zile za maambukizi ya VVU ambapo kupitia majimaji yoyote yanayotoka kwenye mwili wa mtu mwenye maabukizi, mtu anaweza kuambukizwa ugonjwa huu.

" Homa ya ini inaenezwa kwa staili ileile inayoaeneza virus vya Ukimwi (VVU) kwa maana kupitia kujamiiana, kupitia kwa wanaokwenda saloon, lakini pia homa ya ini inaweza kuambukizwa kwa majimaji yoyote yanayotoka mwilini mwa mgonjwa wa homa ya ini." Alisema Dr. Kessy

" Kwa hio ni ugonjwa ambao unaenea kwa kasi sana na Wizara ya Afya inaendelea kutoa elimu kuhusiana na homa ya ini. Homa ya ini ikimpata mgonjwa dalili zae ni kama za malaria, mwili kuchoka viungo lakini pia inaweza kusababisha macho kuwa ya njano na mara nyingi ikitokea dalili hizi huwa zinaisha zenyewe na baadae,kinachojitokeza ni mgonjwa kupata tatizo linalopelekea kuwa na manjano lakini pia inaweza kusababisha kansa ya ini." Alisema Dr. Kessy.

Kwamtu ambaye amepatikana na ugonjwa huu atalazimika kutumia dawa kwa muda mrefu na gharama yake ni kubwa.

Amesitiza kuchukua hatua mapema ya kwenda kupata chanjo ambayo inatolewa kwenye hospitali ya Wilaya ambayo ipo Mlowa barabarani, kituo cha Afya Chamwino na hospitali ya Uhuru.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.