• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

AWESO: Sitaongeza muda Mradi wa ujenzi tangi la Maji Buigiri

Imewekwa: January 21st, 2021

Na Brian Machange - Buigiri, Chamwino

Waziri wa Maji Mheshimiwa Juma Aweso (Mb) amesema hataongeza muda wa siku 60 uliotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Maji kukakamilisha mradi wa ujenzi wa tangi la maji Buigiri Wilayani Chamwino.

Mheshimiwa Waziri ameyasema hayo leo tarehe 21 Januari, 2021 kwenye ziara yakukagua  maendeleo ya mradi wa ujenzi wa tangi la maji lenye ujazo wa zaidi ya Lita 2,500,000/= ambapo litarahisisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wakazi wa Kata ya Buigiri, Chamwino pamoja na wakazi wa maeneo ya IKulu.

Mh. Aweso amewataka wajenzi wa mradi huo ambao ni SUMA JKT kufanyakazi usiku na mchana ilikukamilisha mradi huo muhimu kwa wananchi wa Wilaya ya Chamwino.

‘Sisi tunataka hili tangi kukamilika kwa wakati, na kukamilika kwa wakati ni lazima mfanyekazi usiku na mchana ili muweze kukamilisha mradi huu kwa siku zilezile 60 alizotoa Naibu Katibu Mkuu ndizo tutakazozisimamia’ Amesema Aweso.

Naye mjumbe wa  Bodi ya DUWASA  Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma Mh. Prof. David Mwamfupe amemuahakikishia Waziri wa Maji kuwa maagizo yote aliyoyatoa hayanakukwepa hivyo watakuwa kiungo kati yao katika kutekeleza mradi huo, kwani azima yakuhamia Dodoma sio tu kuwa na majengo makubwa lakini ni pamoja na kuimarisha huduma za maji.

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Bi. Vumilia Nyamoga amemshukuru Waziri wa Maji kwakutembelea mradi huo na kumhakikishia kuwa watampa ushirikiano wa kutosha ikiwa ni pamoja na kuwa walinzi wa kwanza wa mradi huo mkubwa wa maji.

Akitoa shukrani kwa Waziri wa Maji, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chamwino Mh. Keneth Yindi ametoa shukrani za dhati kwa Waziri wa Maji  kwa kupata mradi huu mkubwa wa maji kwani Chamwino kwa sasa inapokea wageni wengi ikizingatia kuwa makazi rasmi ya Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Mgufuli yapo hapa hivyo kufanya kuongezeka kwa mahitaji ya Maji.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.