• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Naibu Waziri achangia wasioona Buigiri

Imewekwa: February 14th, 2019

Mheshimiwa Ikupa Achangia Fedha Kituo cha Wasiioona Buigiri

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu mwenye dhamana ya walemavu Mheshimiwa Stella Alex Ikupa amewachangia fedha walemavu wasiioona wanaoishi katika kituo cha Matembe bora kilichopo katika kijiji cha Buigiri Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.

Mchango huo ameutoa jana alipofanya ziara kituoni hapo baada ya kupokea changamoto mbalimbali kutoka kwa walemavu hao.

Mhe. Stella A. Ikupa amewapatia kiasi cha shilingi 300,000/= ambapo pia aliungwa mkono na wabunge Joel Mwaka wa jimbo la Chilonwa na Fatuma M. Toufiq Mbunge Vitimaalum Mkoa wa Dodoma ambao wametoa shilingi 150,000/= kwa kila mmoja na hivyo kufanya jumla ya mchango wote kuwa shilingi 600,000/=

Amewaeleza kuwa kupitia fedha hiyo wataamua wao wenyewe waanze kutatua changamoto ipi kati ya walizoziwasilisha kwake.

Kuhusu changamoto ya tanki  la maji pamoja na hati miliki ya kituo hicho Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Athumani H. Masasi ameahidi kuzifanyia kazi kwa kutenga fedha kwenye bajeti ya mwaka 2019/2020 kwa ajili ya tanki la maji na kuhakikisha hati miliki inapatikana kwa kuwa yote yako ndani ya uwezo wa Halmashauri.

Kuhusu changamoto ya suala la walemavu kupatiwa viwanja kwa ajili ya makazi Mhe. Naibu Waziri Ikupa ameielekeza Halmashauri kuwa pindi inapouza viwanja watu wenye ulemavu wapewe kipaumbele na wapewe muda mrefu kidogo wa kulipia.

Aidha Mhe. Naibu Waziri ametoa maagizo mbalimbali ikiwemo suala la kutenga bajeti kwa ajili ya kununua mafuta ya watu wenye ulemavu wa ngozi, kutenga maeneo ya biashara kwa ajili ya watu wenye ulemavu na kukamilisha zoezi la uundaji wa kamati za walemavu kwa vijiji ambavyo havijaunda.

Vilevile ameielekeza Halmashauri kuhakikisha inakutana na watu wenye ulemavu na kuwauliza mahitaji yao na kuyatengea fedha katika bajeti ya mwaka wa fedha 2019/2020.

Mhe. Naibu Waziri  Ikupa ameipongeza Halmashauri kwa namna inavyoshughulikia masuala ya walemavu  ikiwemo suala la kutoa mikopo ya 2% pamoja na kuwa na dirisha la kuwahudumia walemavu wanapokwenda kupata matibabu.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.