• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wafugaji Chamwino watakiwa Kushiriki Upimaji wa Maeneo yao

Imewekwa: October 20th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Dkt.Semistatus H. Mashimba, amewataka wafugaji kushiriki katika zoezi la upimaji wa maeneo yao ili kuondokana na migogoro inayojitokeza katika jamii.

Akizungumza katika mkutano na wafugaji wa Wilaya ya Chamwino Oktoba 19, 2022, amesema lengo la zoezi hilo ni kusaidia kuondoa migogoro  kati ya wafugaji na wafugaji, wakulima na wafugaji katika maeneo yao.

Amesema zoezi hilo linatarajiwa kutekelezwa kwa siku 20 na linakusudiwa kuanza tarehe 24 Mwezi huu.

“zoezi hili litaanza mapema iwezekanavyo na natarajia ndani ya siku 20 liwelimekamilika na zoezi hili rasmi litaanza tarehe ishirini na kukamilika kwa siku hizo”.

“Naomba kupata ushirikiano kutoka kwenu ili tuweze kutekeleza jambo hili kwa haraka zaidi, na jambo hili litasaidia kuondoa migogoro katika mazingira yetu tunayo ya ishi kama vile migogoro kati ya wafugaji na wafugaji pia wafugaji na wakulima,” amesema Dkt. Mashimba.

 Vilevile amewaelekeza wafugaji kuwa wanapaswa kutunza nyaraka walizo nazo ili kupata taarifa za uhakika wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo.

Amesema Serikali inatengeneza miongozo mizuri kupitia zoezi hilo ili kutekeleza miradi ya josho kwaajili ya mifugo.

Aidha amewaasa wafugaji hao kuchangia gharama za upimaji wa maeneo yao.

Kwa upande wa Wafuagji wamesema wapo tayari kutoa ushirikiano ili kuepusha migogoro na kuweza kutambua mipaka yao.

Wamesema kila mfugaji alijinunulia eneo kwa ajili ya shughuli za ufugaji na zoezi hilo likikamilika litakuwa mfano kwa Wilaya zote za nchi ya Tanzania.

“Haya  maeneo ni ya kwetu tunaomba tukapimiwe kwa haraka na jambo hili la upimaji litasaidia kuondokana na changamoto za kuingiliana katika mipaka yetu”.

“Pia zoezi hili likikamilika litakuwa mfano wa kuigwa kwa Halmashauri zote za nchi yetu ya Tanzania”, wamesema. 

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.