• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wadau wa Elimu Chamwino Waweka Maadhimio Kuboresha Elimu

Imewekwa: February 16th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imefanya kikao cha wadau wa elimu Wilaya leo Februari 16, 2023, kwa lengo la kufanya tathimini kuona walichopanga na wapi walipofika katika utekelezaji wa malengo waliyojiwekea. Kikao kimefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashàuri.

Akizungumza alipokuwa akifungua kikao hicho Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Chamwino ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mheshimiwa Remidius Mwema Emmanuel amesema kama Wilaya waangalie mambo yaliyowavuta nyuma ili wayarekebishe.

Aidha Mkuu wa Wilaya alieleza kuwa Chamwino imedhamiria kuleta mapinduzi makubwa kwenye eliju kwa kuona mabadiliko kwa kila mwaka.

Katika kikao hicho Maafisa Elimu Msingi na Sekondari waliwasilisha taarifa za hali ya Elimu kila mmoja na baada hapo wajumbe walijadili nakuweka maadhimio mbalimbali yatakayoweza kusaidia katika suala la kuboresha hali ya elimu ndani ya Wilaya.

Miongoni mwa madhimio yaliyofikiwa ni pamoja na utoaji wa motisha kwa walimu kuanzia ngazi ya kijiji hadi Wilaya pamoja na maslahi na stahiki za walimu kutolewa kwa wakati.

Kila shule kulima mashamba na kuweka vitega uchumi kwa ajili ya kutoa chakula shuleni.

Walimu wakuu na Wakuu wa shule kupimwa kwa ufaulu shuleni na kutoa bendera nyeusi kwa shule zinazofanya vibaya.

Kutoa Elimu kwa wazazi, wanafunzi na jamii nzima kuhusu umuhimu wa elimu

Ufanyaji wa mazoezi na mitihani ya mara kwa mara kwa wanafunzi pamoja na kuwepo na jitihada za kuondoa alama Dna E

Suala la michezo mashuleni kupewa kipaumbele likiwemo suala la mchakamchaka

Kusimamia nidhamu za wanafunzi ikiwemo suala la viongozi wa dini kufundisha vipindi vya dini mashuleni ili kuondoa mmomonyoko wa maadili.

Kuweka makambi kwa madarasa ya Mitihani likiwemo suala la usimamizi mzuri wa prepo

Katika kikao hicho zawadi mbalimbali ikiwemo fedha taslim na vyeti vilitolewa kama motisha kwa shule zilizofanya vizuri kwà vigezo mbalimbali vya kielimu kwa elimu ya Msingi na Sekondari.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.