• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Siku ya Lishe Kitaifa kufanyika Octoba 23, 2021 Mkoani Tabora

Imewekwa: October 18th, 2021

Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Lishe Kitaifa kwa mwaka 2021 yanatarajiwa kuadhimishwa ifikapo Oktoba 23, Mkoani Tabora  ambapo kwa mwaka huu yataambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo maonesho ya Afya na lishe yatakayofanyika katika  Viwanja vya Nane nane Ipuli mkoani humo.

Akizungumza katika Mkutano na Waaandishi wa habari Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna katika ukumbi  wa Mikutano wa Taasisi hiyo amesema maadhimisho ya Mwaka huu yamebebwa na Kauli Mbiu isemayo “Lishe Bora ni Kinga Thabiti dhidi ya Magonjwa: Kula Mlo Kamili , Fanya Mazoezi, Kazi Iendelee”

Dr Germana amesema lengo la kuanzisha Siku ya Lishe ya kitaifa ni kuwaleta kwa pamoja wadau wa lishe ambao ni viongozi, wanasiasa, watendaji, wataalamu, wadau wa maendeleo, mashirika yasiyo ya Kiserikali na wananchi ili kuongeza ufahamu  kuhusu umuhimu wa lishe kama msingi wa afya bora na maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

“Ndugu zangu wanahabari Siku ya Lishe Kitaifa itatanguliwa na na shughuli mbalimbali ikiwemo kutoa elimu kwa jamii juu ya utayarishaji wa mlo kamili kwa makundi mbalimbali wakiwemo watoto, vijana, wajawazito, wanawake wanaonyesha, wazee, wagonjwa pamoja na  watu wengine, kufanya uchunguzi wa afya na lishe kwa watu wote pamoja na kutoa ushauri stahiki bila kusahau kufanya maonesho ya bidhaa/ vyakula vilivyoongezewa virutubishi. alisema Dkt.Germana.

Maadhimisho ya Siku ya Lishe Kitaifa kwa mwaka huu ni ya pili tangu kuanzishwa kwake ambapo kwa mara ya kwanza yalifanyika  Mwaka 2020 Mkoani Dodoma, ambapo siku hii imetajwa kutumika kama jukwaa muhimu katika kutekeleza na kuendeleza azma ya Serikali ya kutokomeza aina zote za utapiamlo nchini na kuongeza uelewa na ufahamu juu ya lishe bora na hatua madhubuti zinazopaswa kuchukuliwa na wananchi ili kuleta mabadiliko chanya hususani katika ngazi ya jamii.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.