• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Shule Ya Msingi Chinangali II Yapokea msaada wa samani Toka Magereza

Imewekwa: August 15th, 2024

Naibu kamishina wa jeshi la Magereza Tanzania Bertha J. Minde amekabidhi msaada wa madawati hamsini na tano, viti thelasini na sita na meza thelasini na sita kwa niaba yaKamishina wa Magereza Tanzania katika shule ya msingi Chinangali II wilayani Chamwino.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano hayo kamishina Minde amesema anaungana na uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Chamwino na shule ya Chinangali II kumshukuru Kamishina wa Magereza kwa kutekeleza ahadi aliyotoa Septemba 2, 2023 kwenye mahafali ya darasa la saba ambapo kamishina mstaafu wa magereza kwa sasa mzee Ramadhani Nyamka aliyewakilishwa na naibu Kamishina Athumani Ambayukite.

Aliendelea kueleza kuwa katika risala yake mkuu wa shule pamoja na mafanikio alieleza changamoto ya upungufu wa thamani za ofisi pamoja na madawati hamsini na tatu. Kwa kuzingatia upatikanaji wa elimu bora jeshi la magereza limetengeneza thamani hizo zenye thamani ya Tshs. 20,825,000/= kwa ajili ya kutatua changamoto hiyo.

 Naye mgeni rasmi bibi Tulinagwe Ngonile  akimuakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chamwino ameshukuru kwa msaada wa vifaa hivyo na kusisitiza matunzo kwa ajili ya vifaa hivyo.

"Shule na jamii inayozunguka shule inapaswa kuhakikisha viti hivi na madawati haya vinatunzwa, siyo baada ya mwezi mmoja tunakuta dawati linaning'inia mbao au dawati limewekwa stoo limeharibika. Tuhakikishe yanatunzwa kwa kuwa na matumizi sahihi na siyo tu kuyatunza pia yalindwe. Tusije tukasikia yamepotea au yameibiwa. Azima tutunze nguvu ambayo wenzetu wa magereza wamejitoa kuhahikiSha wanalekebisha mazingira ya shule." Alisema Tulinagwe.

'

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.