• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Senyamule Awataka Vijana Mradi wa BBTKuilinda Nchi Kiuchumi

Imewekwa: April 29th, 2024

"Kupitia elimu mliyoipata tunategemea kuona mambo yanakuwa motomoto huku shambani,"

Hayo yamesemwa leo Aprili 29, 2024 na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Staki Senyamule alipofanya ziara ya kukagua mradi wa kilimo wa vijana ambao uko chini ya wizara ya kilimo unaokwenda kwa jina la bbt. Mradi huu unatekelezwa Chinangali wilaya ya Chamwino.

Amewataka vijana hao pamoja na kuwa na mikakati ya kulima mazao ya muda mrefu wawe pia na mkakati wa kulima mazao ya muda mfupi kama vile mbogamboga zitakazowasaidia kukidhi mahitaji madogomadogo ya kila siku.

"Kuanzia Dodoma kwenyewe kuna mahoteli mengi, kuna mahitaji mengi ya vyakula. Naamini hata leo mkiwa mnagawana watano waende kwenye mahoteli,mkatembee kwenye viwanda, hapa mnawaletea nyanya, mnajua ni kiasi gani na vitu vingine vya kawaida. Mambo mengineya wiki mbili, mwezi yanapaswa kuwepo kwa sababu mnatakiwa kuishi kila siku. Kwahiyo nendeni mkatafute masoko kuanzia yale madogo, ya kati na hata makubwa." Alisema Mkuu wa mkoa.

Vilevile alikumbushia suala la kupanda miti kuzunguka kwenye mashamba ili kuzuia upepo shambani na kutunza mazingira jambo ambalo ameona halijatekelezwa na kuwaelekeza wafanye hivyo.

"Nimesikitika ile juhudi tuliyoifanya imekuwa kama ya kulazimisha. Tulileta miti kupitia TFS lakini hatukuendelea na mwaka huu kulikuwa na mvua nzuri sana za juweza kumwagilia ile miti. Kwa hiyo nitoe shime wakati huu mnapoendelea kusubilia vitu vingine basi kwenye hizo 'block' waendelee kupanda miti, waimwagilie ili iendelee kuwa kinga upepo kama mnavyoona kule kwenye zabibu inafurahisha na inakuwa haraka lakini hata mashamba yanapendeza pamoja ni mashamba ya kilimo lakini yawepia kwa ajili ya utalii wa kilimo." Alisema mkuu wa mkoa.

Mkuu wq mkoa pia amewataka vijana kuilinda Nchi kwa kuwa wanaotakiwa kuilinda ni vijana wenye nguvu.

"Ninyi hamtailinda Tanzania kwa mtutu bali kwa uhakika wa chakula, mtailinda kwa uhakika wa uchumi kwa maana ninyi mmewekewa mazingira ya kujipatia uchumi lakini uchumi kwa ajili ya Taifa. Na kuilinda huko ni kwa kufanya bidii kwa uaminifu na uadilifu lkini kulinda huko ni kwa kusema mabo mazuri ya nchi yako." Alisema Mhe. Senyamule.

Aidha mkuu wa mkoa ametembelea eneo la shamba zima pamoja na eneo la kiwanda cha kukamua mchuzi wa zabibu ambacho ni sehemu ya mradi huo wa kilimo na ametoa maelekezo ambayo wataalam wanapaswa kuyafanya ili mradi uweze kutekelezwa kwa ufanisi

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.