• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Naibu Waziri Ndejembi: Tutawashughulikia Maafisa utumishi miungu watu

Imewekwa: April 16th, 2021

Na Brian Machange-Chamwino

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Deo Ndejembi amesema  serikali kupitia wizara yake haita wavumilia Maafisa Utumishi wazembe na wanaojifanya miungu watu wanaowaonea watumishi katika utumishi wa Umma.

Naibu Waziri Ndejembi ameyasema hayo Aprili 15, 2021 alipofanya ziara ya kawaida ya kikazi Wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma na kukutana na watumishi wa Halmashauri ya Chamwino kwa lengo lakufanya nao mazungumzo na kusikiliza changamoto wanazokumbana nazo katika kutimiza majukumu yao ya kila siku maeneo yao ya kazi.

Wakizungumza katika ziara hiyo, watumishi wamemueleza Waziri Ndejembi kuwa matatizo mengi wanayokumbana nayo niyakiutumishi kama vile kukaa muda mrefu bila kupandishwa madaraja hali inayopelekea kushusha morali  ya utendaji kazi kwani kuna watumishi ambao zaidi ya miaka saba hawajapandishwa madaraja na wengine wanamadai ya muda mrefu ambayo sio ya mishahara kama vile uhamisho na stahiki nyingine.

Kuhusiana na hoja za watumishi hao, Mhe. Waziri Ndejembi amewahakikishia kuwa serikali iko bega kwa bega na watumishi kwa kutambua mchango mkubwa wanaoutoa kwa Taifa,hivyo kwakutambua mchango wa watumishi serikali imejipanga kuwapandisha wadaraja wafanyakazi wote wapatao 90,000 kwa mwaka huu wa fedha 2021/2022.

Mhe. Naibu waziri Ndejembi ametumia fursa hiyo kuwataka wafanyakazi wote nchini kufanyakazi kwakujituma ilikuongeza tija katika maeneo yao yakazi na kuwataka kila mtumishi kuwa na mpango kazi unaomuongoza kila wiki nini atafanya akiingia ofisini, kwa kufanya hivyo itarahisisha kujifanyia tathmini binafsi na taasisi husika.

‘Sio mnachekelea kuona sisi serikali tunawapandishia madaraja ilihali nyie utendaji wenu wa kazi hauridhishi, Ofisi ya Rais-Utumishi haitomvumilia mtumishi yeyote ambaye ataleta uzembe kazini  pamoja na Maafisa Utumishi atakaye kuwa akiwaonea watumishi wa umma’  Amesema Naibu waziri Ndejembi.

Nisisitize tubadilike, haya malalamiko yanayotolewa kwa Maafisa Utumishi kuwa hawapeleki kwa wakati changamoto za watumishi wao kwenye mamlaka husika, hawatumi majina ya watumishi wanaopaswa kupandishwa Madaraja, hii changamoto tumeiona nchi nzima nirudie tena hatutavumilia wale wote wanaojiona miungu watu.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.