• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Naibu Waziri Ndejembi Akabidhi Vifaa Vya Ujenzi, Chamwino

Imewekwa: March 10th, 2023

Naibu Waziri wa TAMISEMI Mheshimiwa Deogratius Ndejembi amekabidhi mifuko ya simenti na mabati kwa ajili utekelezaji wa miradi kwa jimbo la Chamwino leo, Machi 10, 2023. Makabidhiano yamefanyika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.

Akikabidhi vifaa hivyo Mhe. Waziri amewataka waheshimiwa Madiwani na wataalam wote waliokabidhiwa vifaa hivyo kuhakikisha vinafanya kazi ya miradi iliyokusudiwa na inakamilika kwa wakati.

" Kubwa ambalo nasisitiza ni usimamizi wa vitendea kazi  hivi viweze kutumika kama malengo yanavyotaka na mkiacha usimamizi ni kumaliza miradi kwa wakati na hii si tu kwa waheshimiwa Madiwani bali hata watumishi kwa ujumla".

" Changamoto kubwa tuliyonayo Serikali za Mitaa ni miradi ya Serikali kutokamilika kwa wakati lakini si tu kukamilika kwa wakati baki hata usimamizi waje huwa duni na ndio unakuta miradi inachelewa. Na hizi fedha zinaletwa na Mhe. Rais wetu Samia Suluhu Hassan ili zije kuhudumia wananchi na si kutuhudumia sisi viongozi."

Jumla yamifuko  1950 ya simenti na mabati 130 yamegawiwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo 30.

Alimshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumteuwa kuwa Naibu Waziri wa TAMISEMI na àliahidi kufanya kazi kwa bidii kama matarajio Ya Mhe. Rais

Naye Diwani wa Kata ya Buigiri ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Keneth Yindi alimshukuru Mhe. Naibu Waziri kutokana na mtumizi yaliyowazi kwa fedha za Mfuko wa Jimbo kwani vifaa hivyo vimegawiwa mbele ya Waheshimiwa Madiwani wote kwa kadri ya mahitaji yao waliyoyawasilisha.

 " Mhe. Naibu Waziri wa TAMISEMI kwa niaba ya Halmashauri nashukuru kwa matumizi yaliyowazi ya fedha za mfuko wa jimbo.umeona suala hili liwe la wazi umewaita Madiwani wote na kila Diwani amepata kulingana na mahitaji yake na hii inaonyesha sisi ni wamoja na angeomba iwe mfano kwa maeneo mengine katika kutekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi."

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.