• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Msaada wa Vifaa vya Kujikinga na Corona pamoja Cherehani Chamwino

Imewekwa: June 16th, 2020

Action Aid Yakabidhi vifaa vya Kujikinga na Virus Vya Corona, Chamwino 

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Bibi Vumilia Nyamoga amekabidhiwa  vifaa kwa ajili ya kujikinga na Corona vilivyotolewa na Shirika la Action Aid . Makabidhiano hayo yamefanyika jana, Juni 15, 2020 Ofisini kwake Chamwino.

Vifaa vilivyokabidhiwa ni mavazi maalum yanayotumiwa na wahudumu wa afya wanapokuwa wakiwahudumia wagonjwa wa corona (PPEs) pea 50, matenki ya maji 14 na  mashine za kunawia mikono 14.

Aidha Shirika hilo limekabidhi pia cherehani mbili (2) za kudarizi kwa ajili ya vikundi vya wajasiliamali wadogo.

Vifaa hivi vinatarajiwa kugawiwa kwenye maeneo mbalimbali ya kutolea huduma ambapo matenki makubwa matatu (3) yenye ujazo wa lita 1000 pamoja na mashine tatu za kunawia kwa kila eneo yatapelekwa shule za msingi za Msanga, Mahama na Mlowa barabarani.

Vilevile Hospitali ya Wilaya Mlowa Barabarani imepewa matenki makubwa ya lita 1000  mawili (2), na mengine mawili (2) yamegawiwa katika vituo vya Afya vya Mpwayungu na Haneti.

Matenki saba (7) yenye ujazo wa lita500 pamoja na mashine saba (7) za kunawia yamegawiwa kwenye shule za Sekondari za Msanga, Mlowa barabarani na Buigiri pamoja na Zahanati za Dabalo, Ilangali, Champumba na Itiso.

Mgao wa cherehani ulikwenda kwenye kikundi cha Nyota njema kilichopo Kata ya Chamwino na umoja kilichopo kijiji cha Mlodaa.

Akizungumza katika makabidhiano hayo Mkuu wa Wilaya amelishukuru shirika hilo kwa msaada huo walioutoa na kuelekeza kuwa vifaaa vitunzwe vizuri.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.