• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mheshimiwa Mayanja Atoa Ushauri Kwa Baraza la Madiwani

Imewekwa: April 30th, 2024

Halimashauri ya wilaya ya Chamwino imefanya mkutano wake wa Baraza la Madiwani wa robo ya tatu 2023/2024 leo Aprili 30, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

Akitoa salamu za Serikali Mhe. Janeth Mayanja mkuu wa Wilaya ya Chamwino amewasihi Wahe. Madiwani kushirikiana na menejimenti katika kutekeleza miradi ya maendeleo.

"Serikali inatoa fedha nyingi za miradi, na miradi hiyo inatekelezwa kwenye maeneo yenu, niwaombe hata kama kuna kamati za usimamizi, hata kama kuna Taasisi zinasimamia miradi lakini kwa kuwa ninyi ndio mko kule ninyi msijali kama ni mradi wa barabara, kama ni mradi wa darasa, msijali kama ni mradi wa umeme. Kama mwakilishi wa wananchi unajukumu la kuweka msukumo ili mradi uweze kukamilika kwa wakati." Alisema Mkuu wa Wilaya.

"Pale mnapoona mambo hayaendi vizuri ofisi yangu iko wazi ili tuweze kutatua changamoto hizo kwa pamoja mapema. Inakuwa ni vibaya wakati mwinginewanakuja viongozi wa mamlaka zingine za juu wanafika wanakuta kuna mambo hayaendi vizuri ili adhima ya Serikali ya utoaji wa fedha iende sambamba na upatikanaji wa huduma kwa wananchi." Aoisema Mkuu wa Wilaya.

Ameomba pia Halmashauri kuendelea kujipanga kuibua vyanzo vipya vya mapato kutokana na Halmashauri kuwa na eneo kubwa na hivyo kuwa na gharama kubwa za uendeshaji kuliko kwenda kupeleka miradi ya maendeleo kwa wanachi, lakini vyanzo vilivyopo kuvikusanya vizuri.

Alishauri Halmashauri kuanzisha nfuko wa elimu ili wadau wa Halmashauri wlioko nje na ndani ya Halmashauri wanaweza kuchangia chochote kwenye mfuko wa elimu ili watoto wanaotoka katika mazingira magumu waweze kusaidiwa na mfuko huu. Japo kuanzisha jambo hili si jqmbo la muda mfupi lakini ni vema wakalichukua na kulifanyia kazi.

Amezungumzia pia suala la utoro na kushauri kuwa na sheria ndogo ya kushughulika na suala la utoro.

Naye mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Chamwino ndg. Malima ameomba walichukulie uzito suala la uvamizi wa simba na tembo kwenye Tarafa ya Mpwayungu ili wawe na amani kwenye makazo yao. Vilevile naye pia alisisitiza kuhusu suala la ukusanyaji wa mapato.

Katika mkutano huo pia Katibu Tawala wa mkoa wa Dodoma Ndg. Kasper Mamuya amewaomba wajumbe wote kuzibeba kero za wananchi na kuziona ni za kwetu na kuzishughulikia kwani ndio agizo la Mhe. Rais Samia Suluhu Hassani. Na mkoa umejiwekea Kauli mbiu ya "kero yako wajibu wangu".

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.