• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mganwa Afunga Mafunzo Ya Utoaji Wa Mikopo Chamwino

Imewekwa: October 7th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Ndg: Tito P. Mganwa leo Oktoba 07, 2024 amefunga mafunzo kwa Maafisa maendeleo na Maafisa watendaji wa Kata ambao ni wasimamizi wa mikopo ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu (10%) ngazi ya kata. Mikopo hii inatarajiwa kuanza kutolewa hivi karibuni kwa Vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, ambayo ilisitishwa  na sasa kuja na utaratibu mpya ulioboreshwa wa utoaji wa mikopo hiyo.

 Akizungumza alipokuwa akifunga mafunzo hayo amewaelekeza wasimamizi hao kwenda kuwaelimisha vizuri wananchi ikiwa ni pamoja na kuwaeleza ukweli kuhusu mikopo hiyo ili wanapofikia uamuzi wa kuchukuwa mkopo wachukuwe wakiwa na uelewa mzuri na hiyo itasaidia kuwa na urejeshaji mzuri wa mikopo watakayochukua.

"Suala la mikopo ni suala gumu kwa kuanzia kwa sisi wenyewe. Tunapokopa tunakuwa na changamoto. Mtu anapokopa anakuwa na wazo la biashara lakini anapoingia kwenye biashara yenyewe wakati mwingine inakuwa changamoto. Kwa hiyo inahitaji ushauri wa hali ya juu.Mara nyingi tumekuwa tunatoa mafunzo ambayo ni ya ujumla lakini waambieni watu ukweli toka mwanzo kuwa watapaswa kurejesha lakini pia tusaidie kwenye usimamizi kwa kufanya ufuatiliaji wa mara kwa mara." Alisema Mganwa.

Vilevile aliwaonya wasimamizi hao kutoruhusu siasa kwenye utoaji wa mikopo

"Kikubwa msiruhusu kamwe siasa iingie kwenye utoaji wa mikopo hii. Fuateni utaratibu, nyie siyo wanasiasa.Serikali imeweka utaratibu mzuri kabisa wa utoaji wa mikopo hii." Alisema Mganwa.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji alielekeza wataalam wote ngazi ya kata washirikiane kusimamia miradi ya maendeleo iliyopo kwenye maeneo yao, wasiwaachie watendaji peke yao.

Mwisho kabisa wasimamizi hao walipewa kiapo kuhusu utoaji wa mikopo hii ya Serikali kilichotolewa na Mwanasheria wa Halmashauri Bibi Olipa Mkuyu. 

"Serikali za Mitaa Sauti ya Wananchi, Jitokeze Kushiriki Uchaguzi"

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.