• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mayanja Ahimiza Usimamizi wa Miradi Ya Maendeleo Chamwino

Imewekwa: August 29th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja amewapongeza waheshimiwa Madiwani kwa kazi kubwa wanayoifanyakwenye maeneo yao,. Pongezi hizo amezitoa alipokuwa akitoa salamu za Serikali kwenye mkutano wa mwaka wa baraza la Madiwani Agosti 28, 2024 uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

Akitoa salamu hizo Mkuu wa Wilaya amewakumbusha Wahe. Madiwani kusimamia miradi ya maendeleo inayopelekwa kwenye maeneo yao itekelezwe kwa ufanisi na kwa muda uliopangwa.

"Niwaombe wah. Madiwani ile miradi imepangwa kwa muda maalum wa utekelezaji, kwa kuwa miradi hiyo inatekelezwa kwenye maeneo yetu, nyie muwe watu wa kwanza kufuatilia kuhakikisha miradi hiyo iweze kutekelezwa kwa wakati uliopangwa." Alisema mkuu wa Wilaya.

Aidha ameshauri Mkurugenzi mtendaji kufanya tathimini ya ndani ya Wilaya kwenye miradi yote kujuwa iwapo tunamaliza miradi kwa wakati, kata zilizochelewesha na kata zilizomaliza kwa wakati na watendaje wake wapate pongezi.

Ameelekeza changamoto zinapojitokeza kwenye utekelezaji wa miradi ni vizuri kuhabarishana ili iweze kukamilika kwa wakati na kwa tija iliyokusudiwa, na hiyo ni kwa miradi yote hata ile inayotekelezwa na taasisi nyingine pamoja na wakandarasi.

Aidha Mhe. Mayanja ameongelea suala la kupokea wageni kwenye wilaya ambapo ameelekeza wageni kutoa taarifa kwa watendaji wa vitongoji na mwenyekiti wa kitongoji kuzipeleka taarifa hizo kwa mwenyekiti wa kijiji ili wilaya iendelee kuwa salama.

"Kwa kufanya hivyo pale kutakapokuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani na vitu vinavyoendana na hivyo itakuwa rahisi kuchukuwa hatua." Alisema Mkuu wa Wilaya.

Mkuu wa wilaya alizungumzia wimbi la watoto kuibiwa na kuwaomba wahe. Madiwani kuwatoa hofu wananchi na kuwaelekeza kutochukua sheria mkononi badala yake wawatumie viongozi waliopo kwenye maeneo yao kama wenyeziti wa vitongoji, wenyeviti wa vijiji, watendaji wa kata na vijiji, polisi kata na viongozi wengine.

"Inawezekana mtu amekuja kijijini anashughuli zake nyingine, kununua mazao,mifugo, hata mtu hqmjamuuliza mnasema huyu amekuja kuiba mtoto. Watu wakijichukulia sheria mkononi maana yake na wao watachukuliwa hatua, kwa hiyo wananchi wanaweza kujiingiza kwenye mgogoro usio wa lazima." Alisema Mhe. Mayanja.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.