• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mahili Zote Darasa La Saba Zifundishwe Kikamilifu

Imewekwa: November 5th, 2024


Afisa Elimu Msingi wa Wilaya ya Chamwino Bi Zaina Ramadhan Kishegwe ametoa maagizo kwa wakuu wote wa shule za msingi Wilaya ya Chamwino kusimamia ufundishaji na  kuhakikisha mahiri (mada) zote za darasa la saba zinafundishwa kikamilifu na kukamilika kabla wanafunzi hawajafanya Mtihani wa Taifa wa darasa la saba mwaka 2025.


Maagizo hayo yametolewa leo Novemba 5, 2024 katika kikao cha tathmini ya matokeo ya mtihani wa darasa la saba 2024 Wilaya ya Chamwino kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.


Bi Zaina Kishegwe ametoa maagizo hayo mbele ya wakuu wa shule za msingi Wilaya ya chamwino akiwataka kusimamia mahiri zote za darasa la saba kwa wahitimu wa mwaka 2025 na kuhakikisha kuwa zinakamilika kabla au ifikapo mwezi August mwakani ili wanafunzi wapate muda mzuri wa kujiandiaa kwa ajili ya mtihani wa Taifa wa darasa la saba wa mwaka 2025. Lengo ni kuhakikisha kuwa wanafunzi wa darasa la Saba wanafanya Mtihani wa Taifa wakiwa wamefundishwa kikamilifu ili kuongeza ufaulu.


Sambamba na hilo, walimu wakuu wameagizwa kuhakikisha wanafundisha madarasa ya mitihani ikiwemo darasa la saba ili kuonesha mfano kwa kutoa matokeo chanya kwa wanafunzi hali itakayoleta morali kwa walimu wengine pamoja na kuwataka wakuu wa shule hizo za msingi kuhakikisha wanafunzi wote katika shule zao wanapata chakula cha mchana shuleni.


Aidha, Bi Kishegwe amehimiza walimu wakuu kuwa na mahusiano mazuri na walimu wao pamoja na kuwaomba kutoa motisha hali itakayopelekea kuongeza morali kwa walimu na kupelekea mazingira mazuri ya ufundishaji shuleni.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.