• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Maeneo Sita Kufanyiwa Maboresho Sekta ya Mifugo na Uvuvi

Imewekwa: November 15th, 2022

Wizara ya mifugo imepanga maeneo sita ya kuyafanyia maboresho. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na uvuvi Ndugu Tickson Nzunda alipokuwa akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo rejea kwa maafisa ugani Nchini.

Mafunzo hayo yameanza kufanyika Novemba 14, 2022 Wilayani Chamwino na yatafanyika kwa siku mbili.

Maeneo yaliyopangwa ni pamoja na afya ya mifugo ambapo jukumu walilonalo ni kuhakikisha mifugo inakuwa na afya bora. Pia alieleza kuwa jambo la kuchanja mifugo na kuogesha mifugo ni lazima.

"Jukumu letu kuhakikisha mifugo inakuwana afya bora Kitaifa na Kimataifa." Alisema Katibu Mkuu.

Aidha alieleza kuwa Wizara imegawa dawa ya ruzuku, na mikoa yote imepata. Kwa kufanya hivyo wataweza kudhibiti magonjwa. Alisisitiza sheria, kanuni na taratibu za ufugaji bora ni lazima zizingatiwe.

Kuhusu kuimarisha huduma za ugani za mifugo alisema hilo ni jambo la lazima na ni lazima kuwe na mfumo wa utendaji wa wenye matokeo.

Jambo jingine lililopangwa ni kuimarisha suala la masoko kwa kuimarisha minada. Kuhakikisha mapato ya Halmashauri na Serikali yanapatikana.Aliongeza kuwa wafugaji ni lazima wachangie kwenye sekta ya mifugo.

Kwenye suala la malisho Katibu Mkuu alieleza kuwa ni lazima wafugaji waone juwa wanawajibu wa kupanda malisho. Serikali itaanzisha mashamba darasa ya malisho na kuwapa elimu wafugaji.

Jambo jingine ni kuimarisha ushirikishwaji wa huduma za ugani kwa sekta binafi na wafugaji wenyewe.

Vilevile wataimarisha mashamba ya Serikali ili yawe na mifugo bora na kuyafanya yawemya kibiashara. "Tujengeane uwezo ili kufuga kibiashara." Alisema Katibu Mkuu.

Kuimarisha ranchi za Kitaifa ili kudhibiti ufugaji holela. Wafugaji washirikiane na Halmashauri ili kupata maeneo ya kufugia kwa lengo la kufuga kibiashara.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.