• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Maafisa Waandikishaji Wasaidizi Watakaosimamia Uboreshaji wa Daftari La Kudumu La Wapiga Kura Chamwino Wapatiwa Mafunzo

Imewekwa: September 18th, 2024


Kuelekea zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la kupiga kura katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino maafisa waandikishaji wasaidizi  ambao pia ni watendaji wa kata za Wilaya Chamwino wamepatiwa mafunzo mbalimbali juu zoezi hilo.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Septemba 18,2024 afisa muandikishaji wa Majimbo ya Chamwino na Mvumi Ndugu Godfrey Mnyamale amewataka maafisa hao wasaidizi kuzingatia mafunzo hayo kwani wataisadia tume katika usimamizi wa zoezi la uandikishaji katika vituo vyao, pia kutumia uzoefu wao na mafunzo waliyopatiwa kufanya kazi kwa weledi na bidii ili kufanikisha zoezi hilo.

 Mnyamale ameeleza pia wakati wa zoezi hilo la uboreshaji wa daftari la kudumu la kupiga kura mawakala wa vyama vya siasa wataruhusiwa kuwepo katika vituo vya kuandikishia wapiga kura kwani jambo hilo ni muhimu kusaidia kuleta uwazi katika zoezi zima na mawakala hao watasaidia kutambua waombaji katika eneo husika ili kuondoa vurugu zisizo za lazima.

Amewasisitiza  pia maafisa waandikishaji hao wasaidizi kutekeleza majukumu yao kwa umakini katika kila eneo ikiwemo utunzaji wa vifaa vya uandikishaji (BVR) kwani vifaa hivyo vitatumika pia katika maeneo mengine nchini katika zoezi la uandikishaji pia kuzingatia maelekezo yote yaliyotolewa na tume ili kuyafanyia kazi wakati zoezi litakapokuwa limeanza.

Aidha, zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la kupiga kura katika Wilaya ya Chamwino litafanyika katika vituo 805 katika majimbo ya Chamwino na Mvumi kuanzia tarehe 25 septemba hadi tarehe 1 oktoba, mwaka 2024.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.