• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Maafisa Ugani Chamwino Watakiwa Kutoa Elimu kwa Wakulima Wa Pamba

Imewekwa: September 13th, 2022

Balozi wa Pamba nchini, Mhe. Agrey Mwanri, amewataka maafisa ugani kuwa elimisha wananchi kuhusu kilimo cha pamba katika wilaya ya Chamwino ili waweze kufuata taratibu na maelekezo yaliyotolewa kuhusu kilimo hicho.

Akizungumza katika mkutano na maafisa ugani wa Wilaya ya Chamwino leo, 12 Septemba 2022, amesema kilimo cha pamba ni cha mkakati kitakacho leta maendeleo kwa wakulima na serikali kwa ujumla.

Amesema wameongeza jitihada zilizokuwa zinaendelea kuhusu kilimo cha pamba  ili kuweza kupata mbegu na mafanikio yaliyo mazuri katika wilaya hii.

“Sisi tumeongeza jitihada zilizo fanywa na wakulima wadogowadogo ili tuweze kuendeleza na kuboresha kilimo cha pamba ilikupata mafanikio mzuri zaidi."

“Mkulima mdogomdogo anapaswa kushikwa mkono na kupewa hamasa zaidi,  na kuwaelimisha wanananchi kuhusu huu mpango wa  kwenda kuongeza tija katika uzalishaji wa pamba unafanikiwa kwa kiasi kibwa zaidi,” amesema.

 Mwanri amesema ziara waliyoifanya katika mkoa wa Dodoma na hasa katika wilaya hiyo ilitoa mafunzo ya  njia bora ya kulima pamba ili mkulima aweze kupata manufaa kupitia zao hilo.

Aidha Mwanri ameushukuru uongozi wa Halmashauri kwa ushirikiano uliotolewa na muitikio mkubwa wa wananchi walio jitokeza kushiri mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na balozi huyo.

“Ziara yetu tuliyo ifanya katika mkoa huu wa Dodoma na katika wilaya hii ya Chamwino haikufanya kazi ya kulima pamba bali ilitoa mafunzo ya namna nzuri ya kulima zao la pamba ili kuweza kupata mafanikio kupitia kilimo hiki.

“Pia tunaishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mkoa, Wilaya, na Halmashauri  kwa kutoa ushirikiano na muitikio mkubwa kutoka kwa Wananchi katika kushiriki mafunzo haya,”amesema.

Hata hivyo alisema wakulima wanapaswa kufuata hatua na miongozo ya kilimo cha zao hilo,  kwani ardhi na hali ya hewa ya chamwino inaruhusu kilimo cha pamba.

Katika kikao hicho  pia Mwanri amegawa vifaa mbalimbali vya kilimo kwa maafisa ugani kwa niaba ya Waziri wa Klimo Mhe. Hussen Bashe. Vifaa vilivyogawiwa ni pamoja na bomba za kupulizia dawa, gumboots na makoti ya  mvua ( rain coats).

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.