• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kuelekea Miaka 59 ya Uhuru, Mhe. Senyamule Azindua Mradi wa Maji Buigiri

Imewekwa: April 25th, 2023

Kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amezindua mradi wa ujenzi wa tenki la maji lenye ujazo wa lita million 2.5 lililopo katika kata ya Buigiri wilaya ya chamwino.

Akizungumza katika uzinduzi huo alisema tarehe 26, Aprili kila mwaka wananchi husherekea maadhimisho hayo ambapo kwa mwaka huu yatafanyika kwa kila mkoa kwa mujibu wa maelekezo yaliyotelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani kupitia kwa Waziri mkuu Mhe Kasimu Majaliwa.

“Kila mwaka tumekuwa tukisheherekea siku hizi na mwaka huu tulipokea maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia kwa Wazitri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kasimu Majaliwa, akitoa maelekezo ya namna ambavyo nchi yetu itaadhimisha maadhimisho ya miaka 59 ya muungano”,

“Na maelekezo hayo yalitutaka tusherehekee kwa ngazi za mikoa na wilaya lakini maelekezo mengine yalitutaka tuendelee kuadhimisha kwa namna mbalimbali za kushirikisha wananchi, kufungua miradi, kuwa na makongamano na huduma mbalimbali za kuwaeleza watanzania wajuwe nini Muungano, faida zake ni nini na wapi tunaelekea katika Muungano wa nchi hizi mbili kwa hiyo leo tupo hapa ikiwa ni sehemu ya maadhimisho haya”, alisema Mhe Rosemary Senyemule.

Hata hivyo alisema wanachi wanapaswa kutunza, kuilinda na kuonyesha utashi kwenye utunzaji na utumiaji wa maji hayo kwa umakini na kuhakikisha miundo mbinu hiyo hayailiwi wala haichezewi.

Aidha ametoa wito kwa wanachi kulipa bili za maji ili kuendelea kuboresha na kuendeleza miundo mbinu ya upatikanaji wa maji na kupunguza kero zinazo patikana katika jamii.

“Nitoe wito kwa wananchi mnaoneda kutumia maji haya wengine wakisikia upatikanaji ni zaidi ya asilimia 100 wanasema sasa hata nikiacha bomba wazi hayatoisha, hapana maji ni bidhaa adimu maji yanatakiwa yaheshimiwe yatumike kwa umakini mkubwa”,

“Lakini jingine mlipe bili za maji lazima unapotumia maji kuhakikisha unalipia gharama ambazo zinatakiwa kuzirejesha ili uendeshaji wa miradi hizi ziwe endelevu”, alisema.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.