• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC NYAMOGA ASIKITISHWA NA SIMULIZI YA MWANANCHI MKUTANONI

Imewekwa: July 3rd, 2019

Awataka Wananchi wa Chamwino Kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii wa CHF Iliyoboreshwa.

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Bi. Vumilia Nyamoga   amesikitishwa na tabu wanayoipata wananchi wa Chamwino katika huduma ya Afya kutokana na kukosa fedha wanapougua.

Ametoa masikitiko hayo akizungumza na wananchi wa kijiji cha Chiboli kwenye mkutano uliofanyika tarehe 03.07.2019 wenye lengo la kuhamasisha wananchi kujiunga na CHF ili wapate matibabu kwa gharama nafuu ya shilingi 30,000 kwa mwaka mzima pindi wanapougua wao na wategemezi wao.

Ndipo alijitokeza Charles Pongolo mkazi wa kijiji cha Chiboli na  kusimulia adha aliyoipata alipouguliwa na mtoto wake na kutumia gharama kubwa za matibabu huku akitoa wito kwa wanakijiji wenzake kujiunga na CHF kabla hawajapatwa matatizo kama yaliyomkuta yeye.

"Najua huyu ni mmoja tu aliyezungumza hapa mkutanoni, lakini wapo wengi huuza mifugo, mazao hata nyumba pindi wapouguliwa. Naomba wananchi wa Chamwino tujiunge na CHF iliyoboreshwa ili tuwe na uhakika wa matibabu ya gharama nafuu." Alisema Bi. Nyamoga.

Aidhaa Mganga Mkuu wa Wilaya Chamwino Dkt. Asteria Mpoto amewaeleza wananchi kuwa kwa gharama ya 30,000 wanaweza kutibiwa kwenye ngazi zote za matibabu kwa kupata rufani kuanzia zahanati mpaka hospitali za rufaa tofauti na ilivyokuwa awali. Pia amewaeleza kuwa mwenye kadi ya CHF anaweza kutibiwa kwenye mikoa mingine ya Shinyanga, Manyara na Morogoro na serikali ipo kwenye mchakato wa kuwezesha mwachama wa CHF wa Chamwino atibiwe popote pale nchini.

Nae Afisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya ya Chamwino Bi. Asha Vuai amewaeleza kuwa wanachama wa CHF wanayofursa ya kujiunga na VIKOBA ili kujipatia mikopo ya kuendeleza shughuli zao za maendeleo.

Katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya amesikiliza kero mbalimbali kutoka kwa wananchi na kutoa maagizo kwa watendaji wa serikali kuzipatia ufumbuzi haraka.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.