• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

CHAMWINO YAZINDUA MKAKATI WA KUIMARISHA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI NGAZI YA ELIMU YA MSINGI

Imewekwa: September 9th, 2022


Katibu Tawala wa Wilaya ya Chamwino Bi.Neema Nyarege amewataka Walimu Wakuu wa Shule za Msingi kuwaandaa kikamilifu watahiniwa ili waweze kupata ufaulu wenye tija wa daraja A mpaka C na kuondoa ufaulu wa alama D na E kwa ngazi ya shule za msingi.

 Bi.Nyarege ametoa tamko hilo wakati akizungumza na Viongozi wa Sekta ya Elimu ngazi ya Halmashauri pamoja na Waratibu Elimu Kata Wakuu wa Shule na Walimu Wakuu kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe.Gift Msuya kwenye uzinduzi wa kukabidhi Mkakati wa Kuimarisha Ujifunzaji na Ufundishaji katika ngazi ya Elimu Msingi tarehe 09.09.2022 wilayani Chamwino.

 Amesema kuwa shule za sekondari nazo zinatakiwa kuongeza ufaulu wa daraja la 1hadi 3  na kupunguza au kuondoa kabisa ufaulu wa daraja la 4 na daraja sifuri.

 "Viongozi wa Elimu wasimamie nidhamu kwa wanafunzi na watumishi katika kuimarisha zoezi la ujifunzaji na ufundishaji katika taaisis zote aidha ushauri nasaha utolewe kwa wanafunzi ili waweze kukabiliana na changamoto watakazo kutana nazo katika ujifunzaji "amesema hayo Bi.Nyarege

 Aidha Bi.Nyarege amesema kuwa wanafunzi watoro watambuliwe na warudishwe shuleni kupitia watendaji wa vijiji na Taarifa zitumwe katika ofisi ya Mkurugenzi kila ijumaa kabla au ifikapo saa 4 asubuhi ili ziweze kutumwa mkoani na wiki ya pili au inayofuata taarifa za idadi ya wanafunzi watoro waliorudi shuleni ziwasilishwe.

 Bi Nyarege amesema "Ninafahamu kuwa Mwongozo ulizinduliwa rasmi tarehe 04.08.2022 mkoani Tabora na Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa ambaye pia alizungumzia Malengo ya Mwongozo wa uandikishaji wanafunzi darasa la kwanza ili kuhakikisha wanafunzi walioandikishwa wanamaliza elimu ya msingi kama walivyoanza.

 Pia amesema kuwa Viongozi katika ngazi zote wahakikishe walimu wanatambuliwa, wanathaminiwa na kuwezeshwa pamoja na kushirikishwa, kutiwa moyo na kutobaguliwa.

 Mbali na hayo amewataka walimu kuonyesha ushirikiano na kujitathmini huku akitaka Uteuzi wa Viongozi wa Elimu kuzingatia Weledi, Uzoefu na Ubunifu katika ngazi zote.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.