• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Chamwino Yatoa Mkulima Bora Nanenane Kanda ya Kati

Imewekwa: August 9th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino imefanikiwa kutoa mkulima bora kanda ya kati kwa mikoa ya Dodoma na Singida. Hayo yalibainishwa kwenye maadhimisho ya sikukuu ya wakulima (nanenane) kanda ya kati yaliyofanyika viwanja vya nanenane Nzuguni mkoani Dodoma. 

 Mkulima huyo anayejulikana kwa majina ya Aliseni Cosmasi Damian kutoka kijiji cha Magungu aliweza kulima hekari mia moja za zao la alizeti na mtama. Mkulima huyu aliongoza kwa kupata jumla ya alama 95% 

Alipoulizwa kitu kilichomsukuma kuwekeza katika suala la kilimo Bwana Aliseni alieleza kuwa alisikia kwenye vyombo vya habari kuwa kuna uhitaji mkubwa wa mafuta ya kula nchini, na hivyo akaamua kutumia fursa hiyo.

 " Nilisikia kupitia vyombo vya habari vikitangaza kuhusu uhaba mkubwa wa mafuta ya kula, ndipo nikaona ipo haja yakutumia fursa hiyo." Alisema.

Vilevile alieleza kuwa kuhusu suala la Mtaji alisikia kupitia vyombo vya habari kuwa Halmashauri ya Chamwino inatoa mikopo kwa wakulima ikishirikiana na benki ya CRDB, kwa wakulima waliojiunga na AMCO's hivyo na yeye alipeleka mahitaji yake na alifanikiwa kuwezeshwa.

Aidha Bwana Aliseni ameishukuru sana Halmashauri ya Wilaya ya Chàmwino pamoja na benki ya CRDB kwa uwezeshaji huo na aliwashauri wakulima wengine wanaposikia fursa kama hizi wasisite kuzitumia kwani ndio njia ya kujiletea maendeleo.

Bwana Aliseni amesema anatarajia kupata wastani wa magunia 12 kwa ekari na hivyo kuwa na uwezo wa kulipa mkopo wa CRDB na kubaki na mapato kwa ajili ya kujikimu na shughuli nyingine za maendeleo.

 " Matarajio yangu ni kupata gunia 12 kwa kila hekari baada ya mavuno ambapo nitaweza kurejesha mkopo wa CRDB na nitabaki pia na fedha kwa ajili ya kujikimu pamoja na shughuli za maendeleo." Alisema.

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Msisitizo Watolewa Mahindi Ya Bei Nafuu Yanayotolewa Na Serikali Kupelekwa Kila Kata

    May 08, 2025
  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.