• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Chamwino District Council
Chamwino District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadlili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Fedha
      • Mipango
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Mazingira
      • Ardhi Maliaasili na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Agricultuer
    • Mifugo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Afya Elimu na Maji
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopitishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Sheria Ndogo
    • Mikakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Chamwino Yapokea Mradi Wa EPIC

Imewekwa: October 30th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja ambaye amekuwa mgeni rasmi katika kikao kazi cha kutambulisha Mradi wa EPIC katika wilaya ya Chamwino leo Oktoba 30, 2024 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri amesema wilaya imekubali na ipo tayari mradi huu utekelezwe ndani wilaya.

Akizungumza kwenye kikao hicho Mhe. Mayanja amesema yeye binafsi na viongozi wenzake wa wilaya ya chamwino wanashukuru kwa kupelekewa mradi huu kwani kwa sasa Mashirika mengi yaliyokuwa yakifanya kazi za mapambano dhidi ya kupunguza maambukizi ya Virus vya UKIMWI yamepungua ukilinganisha na kipindi cha nyuma.

Ametoa shukrani na kuahidi kutoa ushirikiano kwa kipindi chote cha utekelezaji wa mradi.

"Tunawaahidi tutawapa ushirikiano wa kutosha ili malengo yenu yaweze kutimia. Tutawapa ushirikiano wa kutosha kwa sababu tatizo la UKIMWI lipo kwenye jamii yetu, na hasa nimefurahi kuona kwamba tajikita kuanzia kwenye makundi ya vijana kuanzia umri wa miaka 15 hadi 24. Ukiangalia takwimu zinaonyesha kundi hili ndilo kundi ambalo ni wahanga katika maabukizi kulingana na umri wao." Alisema Mhe. Mayanja.

"Lakini pia wapo katika kipindi cha ukuaji, kwa hiyo wamekuwa wakipitia changamoto nyingi. Wamekuwa katika kundi la hatari zaidi kupata virus vya UKIMWI kwa kuwa wapo kwenye ukuaji, hawajakomaa na wanashindwa kuhimili kupambana na changamoto wanazokutana nazo." Alisema Mhe. Mayanja.

Amewaomba pia kufanya tathimini watakapoanza kutekeleza mradi ili wautekeleze kulingana na changamoto za wilaya yetu kwani mazingira yanatofautiana kulingana na maeneo ya utekelezaji wa mradi.


Naye Meneja wa mradi mkoa wa Dodoma Ndg: Gideon Muganda ameleza namna mradi utakavyotekelezwa na lengo la mradi ambalo ni kudhibiti maambukizi ya Virus vya UKIMWI kwa makundi hatarishi ya rika balehe kuanzia miaka 15 hadi 24. Lakini vilevile alieleza inagusa pia kwa wanawake na wanaume walio kwenye mazingira hatarishi ya kupata Virus vya UKIMWI katika mazingira hatarishi kama vile maeneo ya migodi, uvuvi, shughuli za ujenzi, ilimradi tuyanawaweka katika mazingira ambayo ni rahisi kupata maambukizi ya VVU.

Lengo ifikapo 2030 watu wote wenye maambukizi 95%?wafahamu hali zao na wakishafahamu matarajio ni waweze kuunganishwa kwenye huduma ya matibabu na matunzo. Baada ya kuunganishwa kwenye matibabu inatarajiwa 95% ya Virus iwe imefubazwa kiasi kwamba wawe hawawezi tena kuambukiza na hiyo ndio faida ya kuwa kwenye dawa kwa muda mrefu. Ilielezwa kuwa kwa wale wasionamaambukizi ni tamanio wabaki hivyohivyo bila maambukizi kwa muda mrefu au kwa maisha yote.

Aliendelea kueleza kuwa wanafanya kazi kwa kutoa elimu ikiwemo elimu ya mabadiliko ya tabia, lakini pia kwa kuangalia uhatalishi watu walionao kulingana na mazingira wanayoyaishi. 

Matangazo

  • MATOKEO DARASA LA SABA December 01, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2023. December 14, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI 2023 June 11, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Chinangali II Wapokea Neema Ya Mradi Wa Milioni 261

    May 06, 2025
  • "Fanyeni Kazi Kama Vikundi Pasipo Kutegeana" Mhe. Mayanja

    April 11, 2025
  • TSC Chamwino Yawapatia Tuzo Walimu Kwa Ufaulu Mitihani Ya Kitaifa

    March 27, 2025
  • Wakuu Wa Shule Wapatiwa Mafunzo Ya Mfumo Wa NeST

    March 21, 2025
  • Angalia Zote

Video

UTEKELEZAJI, UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO
Video Zaidi

Viunganifu vya Haraka

  • Mafanikio ya Miaka Miwili ya Mhe. Rais
  • Mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2018
  • Historia ya Halmashauri
  • Dira na Dhima
  • Kituo cha Biashara
  • Kuonana na Mwenyekiti
  • Huduma za Watumishi
  • Maktaba ya Picha

Viunganishi Linganishi

  • Tanzania
  • PRo-RALG
  • Tovuti ya Wilaya ya Bahi
  • Parliament of Tanzania
  • Dodoma
  • Utumishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Sanduku la posta: 1126 Dodoma

    Simu ya Mezani: 026 296 1511

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@chamwinodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. Haki zote Zimehifadhiwa.